Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakijibu nitag mkuuJKT mujibu wa sheria wanaruhusiwa kuomba ? Msaada kwa dogo hapo
Kuna group moja wana wamejibu mujibu inaruhusiwaWakijibu nitag mkuu
Ok thank youKuna group moja wana wamejibu mujibu inaruhusiwa
Nitafute nikuelekeze jinsi ya kutuma maombi kwa posta 0755209741Kwa anejua utaratibu wa kutuma maombi kwa njia ya posta naomba anisaidie, Maana sisi wengine form 4 hatuna uzoefu
Hospital yoyote unapimwa unapewa mkuu nafikil zaman kipindi tunaendaga form six pia tulikuwa tunazifuata hospitalwakubwa hyo fomu ya afya njema inakuaje, inapatkana wap
na vp kuhisu leaving mkuu( kwa upande wako umepata?Hospital yoyote unapimwa unapewa mkuu nafikil zaman kipindi tunaendaga form six pia tulikuwa tunazifuata hospital
Sema m ninachojiuliza kwenye interview s kuna vipimo tena inamaana tuseme wao watajuaje km MTU hajadanganya dactari atakuandia normal atakam n abnormal ili mradi ufanye applicationHospital yoyote unapimwa unapewa mkuu nafikil zaman kipindi tunaendaga form six pia tulikuwa tunazifuata hospital
M leaving zote kuanzia form four hadi six ninazo mkuu labda wanitose2 kisa naomba kama mujibu wa sheriana vp kuhisu leaving mkuu( kwa upande wako umepata?
sawa mkuu, nmekosa leavng ya form 6 ,ninavyet tu sjui itakuajeM leaving zote kuanzia form four hadi six ninazo mkuu labda wanitose2 kisa naomba kama mujibu wa sheria
Na mara nyingi hospital hzi wanaandikaga2Sema m ninachojiuliza kwenye interview s kuna vipimo tena inamaana tuseme wao watajuaje km MTU hajadanganya dactari atakuandia normal atakam n abnormal ili mradi ufanye application
Ungejarbu kwenda shule uliomalizaga wakuandalie chapsawa mkuu, nmekosa leavng ya form 6 ,ninavyet tu sjui itakuaje
Hakuna kitu kama hicho mkuuKati ya hizo 400 zshajazwa na ndugu zao ,tafuten connection
Ungejarbu kwenda shule uliomalizaga wakuandalie chap
Ndio wanaruhusiwa kuomba wana sifaJKT mujibu wa sheria wanaruhusiwa kuomba ? Msaada kwa dogo hapo
Ugumu uko wapi mkuukipengele
KBS mzee kujuana kupo tuHakuna kitu kama hicho mkuu