tztz
JF-Expert Member
- Jun 30, 2021
- 274
- 253
Mzee wa kapwil kyela?Hakuna kitu kama hicho mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee wa kapwil kyela?Hakuna kitu kama hicho mkuu
nmeongea na secnd master ,ameniambia mwaka niliohtimu leaving hazikufika shulen na hazpoUgumu uko wapi mkuu
Hakuna shida wewe omba tusawa mkuu, nmekosa leavng ya form 6 ,ninavyet tu sjui itakuaje
Sipo kyela mkuuMzee wa kapwil kyela?
We omba hvo hvo mkuu huku ukimuomba mwenyezi mungu asaidienmeongea na secnd master ,ameniambia mwaka niliohtimu leaving hazikufika shulen na hazpo
Jina kama mitaa ya huko kyela[emoji3][emoji3]Sipo kyela mkuu
sitakua unquelufied?Hakuna shida wewe omba tu
Umemaliza mwaka gan kijananmeongea na secnd master ,ameniambia mwaka niliohtimu leaving hazikufika shulen na hazpo
Ni rahisi kwa Waziri kua mfungwa kuliko mfungwa kua waaziri.Hapana!!!!!!
Ni Rahisi Askari Magereza Kuwa Mfungwa, Kuliko Mfungwa Kuwa Askari Magereza.
Kazi Ni Kazi Muhimu Iwe Halari
2016Umemaliza mwaka gan kijana
2016
Twynwakuu vipi kuhusu form ya kujaza daktari, magerereza hawajatoa ,inapatikana wapi?
Atakutatulia tatizo lakovp mkuu
Daah changamoto vigezo tuAisee naona mama anamwaga ajira
Ndio ila naona magereza wanahitaji watu wa kilimo zaidi ungejaribu polisi na uhamiajiDaah changamoto vigezo tu
Polisi si imeshapita aiseNdio ila naona magereza wanahitaji watu wa kilimo zaidi ungejaribu polisi na uhamiaji
Nimeona na fire nao wametoa huko vipi mkuuPolisi si imeshapita aise