Nafasi 700 za kazi kutoka Jeshi la Magereza 2021

Nafasi 700 za kazi kutoka Jeshi la Magereza 2021

Wakubwa mwenye sample nzuri ya cv jmn naomba
 
Mkuu kuna mambo ni vizuri kuyarekebisha kwenye hii cv kama hutojali
1. Ondoa link za fb na twitter hizo sio muhinu sana proffsionally ibaki linkedin na email
2. Katika kipengele cha interest Ondoa Gamming na Movie ni vitu ambavyo vinaweza kuwa negative kwa baadhi ya waajiri
3. Kwenye kipengele cha elimu nimeona umeandika Bsc in CS ni vizuri ukiandika vyote kwa urefu na sio ufupisho
 
Mkuu kuna mambo ni vizuri kuyarekebisha kwenye hii cv kama hutojali
1. Ondoa link za fb na twitter hizo sio muhinu sana proffsionally ibaki linkedin na email
2. Katika kipengele cha interest Ondoa Gamming na Movie ni vitu ambavyo vinaweza kuwa negative kwa baadhi ya waajiri
3. Kwenye kipengele cha elimu nimeona umeandika Bsc in CS ni vizuri ukiandika vyote kwa urefu na sio ufupisho
Fact to note
 
Mkuu kuna mambo ni vizuri kuyarekebisha kwenye hii cv kama hutojali
1. Ondoa link za fb na twitter hizo sio muhinu sana proffsionally ibaki linkedin na email
2. Katika kipengele cha interest Ondoa Gamming na Movie ni vitu ambavyo vinaweza kuwa negative kwa baadhi ya waajiri
3. Kwenye kipengele cha elimu nimeona umeandika Bsc in CS ni vizuri ukiandika vyote kwa urefu na sio ufupisho
Naomba nitumie tsup ndugu yangu hapa nashindwa kuifungua 0716985498
 
Toka usaili ufanyike mpaka leo hii, hii ni wiki ya 3 Magereza hawajatoa pdf ya majina wnangoja Nini ? Kama sio kuweka ndugu humo .Ajira bongo kazi kweli Bora kwenda kulima.

Bado usaili kwa wenye taaluma haujafanyika
 
Back
Top Bottom