Fire wametoa Ila nafasi chache mnoNimeona na fire nao wametoa huko vipi mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fire wametoa Ila nafasi chache mnoNimeona na fire nao wametoa huko vipi mkuu
Acha kukatisha watu tamaa.Kati ya hizo 400 zshajazwa na ndugu zao ,tafuten connection
Aya nenda kaombe utakuja kunipa mrejesho,,bora uwahi kijijini kulima kabla mvua hazijaishaAcha kukatisha watu tamaa.
Wakubwa mwenye sample nzuri ya cv jmn naomba
We jamaa umenipa mawazo mapya ya kudevelop CV yanguView attachment 1965567
Hio kaedit hio ni yangu
Mkuu kuna mambo ni vizuri kuyarekebisha kwenye hii cv kama hutojaliView attachment 1965567
Hio kaedit hio ni yangu
Fact to noteMkuu kuna mambo ni vizuri kuyarekebisha kwenye hii cv kama hutojali
1. Ondoa link za fb na twitter hizo sio muhinu sana proffsionally ibaki linkedin na email
2. Katika kipengele cha interest Ondoa Gamming na Movie ni vitu ambavyo vinaweza kuwa negative kwa baadhi ya waajiri
3. Kwenye kipengele cha elimu nimeona umeandika Bsc in CS ni vizuri ukiandika vyote kwa urefu na sio ufupisho
Usiposhukuru kwa Kidogo hata Kikubwa hutoweza Kukishukuru pia. Acha Dhihaka kwakuwa tu Wewe tayari umeshayapatia Maisha kwa Kuwatoa Makafara Ndugu zako na Kuwafanya Mandondocha.Dah ajira 700? Dah mbona chache Sana. Danganya toto iyo
Mkuu nashindwa kuifungua hapa tafadhali naomba nitumie tsup ndugu yangu 0716985498View attachment 1965567
Hio kaedit hio ni yangu
Naomba nitumie tsup ndugu yangu hapa nashindwa kuifungua 0716985498Mkuu kuna mambo ni vizuri kuyarekebisha kwenye hii cv kama hutojali
1. Ondoa link za fb na twitter hizo sio muhinu sana proffsionally ibaki linkedin na email
2. Katika kipengele cha interest Ondoa Gamming na Movie ni vitu ambavyo vinaweza kuwa negative kwa baadhi ya waajiri
3. Kwenye kipengele cha elimu nimeona umeandika Bsc in CS ni vizuri ukiandika vyote kwa urefu na sio ufupisho
Duh usaili kesho kwa waombaji wapi? Wale wa form 4 mikoani au wale wenye fani makao makuu?Hawa magereza ndo wanafanya usahili kesho
Hawa magereza ndo wanafanya usahili keshl
Toka usaili ufanyike mpaka leo hii, hii ni wiki ya 3 Magereza hawajatoa pdf ya majina wnangoja Nini ? Kama sio kuweka ndugu humo .Ajira bongo kazi kweli Bora kwenda kulima.Leo umefanyika kwa wale baba kanituma
Toka usaili ufanyike mpaka leo hii, hii ni wiki ya 3 Magereza hawajatoa pdf ya majina wnangoja Nini ? Kama sio kuweka ndugu humo .Ajira bongo kazi kweli Bora kwenda kulima.
Wanazingua kaka, toka deadline tarehe 10 hadi leo wanachambua nn hicho?Bado usaili kwa wenye taaluma haujafanyika
Wanazingua kaka, toka deadline tarehe 10 hadi leo wanachambua nn hicho?
Wanazingua kaka, toka deadline tarehe 10 hadi leo wanachambua nn hicho?