Nafasi ya Kazi Ubalozi wa Uingereza, Mshahara Milioni 5.3 kwa Mwezi

Nafasi ya Kazi Ubalozi wa Uingereza, Mshahara Milioni 5.3 kwa Mwezi

Mkuu, tatizo ni serikali ya Danganyika. Hapo unakuta ni muongozo wa wizara ya vibarua na ajira.

Wao wanadhani wakiwaambia wageni hivyo, basi zile OC na marupu rupu wanayopeana serikali, ndio yapo huko Binafsini.

Kama 5.3m ni basic, bila supportive package, ni ndogo kidogo.

Tanesco, Tanapa, Jwtz, TRA, Tanroads, GEPSA, Ewura, etc afisa wadogo tu wanachukua hiyo 5m kama basic
Acha uongo!! 5M ni mshahara wa ngazi ya Manager TRA, kwa hiyo Manager wa TRA ni afisa mdogo kicheo??

Labda EWURA, TANAPA na hao GEPSA sababu sijawahi kuwa nao karibu na wala sijawahi fanya nao kazi!,The rest ni story tu
 
Halafu me nilidhani hawa watu wa ubalozini hawana janja janja kumbe nao ubabaishaji mwingi, kuna ubalozi mmoja walitusumbua na kumbe wana mtu wao. Tuliopita interview tulikuwa tunajuana lakini session iliyofuata tukashangaa kuna mtu kaongezeka. Ni sawa labda pengine mtu wao wa ndani hawezi anzia mwanzo kama sisi lakini sio kuja kumleta mwisho kabisa aje kuonekana tu na kupata kazi. Toka kipindi hicho nilikuwa disappointed sana na hizi balozi.
Umejua leo? Janjajanja niliwahi kutana nayo ubalozi wa Germany..shenzi kabisa!
 
Umejua leo? Janjajanja niliwahi kutana nayo ubalozi wa Germany..shenzi kabisa!
Wapumbavu sana nilidhani watatenda haki, nimetumia gharama sana mpaka kwenda mixer ku risk kibarua changu lakini toka siku hiyo niliwadharau sana. Bora wangetangaza internal Vacancies tu. Au tungeanza wote chini hata wafiche ujinga wao
 
Mkuu 5.3M starting salary? pesa kidogo?
Hata DC halipwi hiyo pesa.
Kaka kwa hiyo position huyo mshahara mdogo Sana ,hapo sana sana watapata candidate wa kawaida Sana,then ukiona shirika linatoa na scale yake kabisa ujue hamna kitu hapo kwenye maslai,nakumbuka 2014 nikiwa officer tu nilikuwa nakula almost 3.9M leo 2023 mtu aje aniambie 5.3m Ni mshahara mkubwa Tena kwenye international organization nitashangaa
 
Mkuu, tatizo ni serikali ya Danganyika. Hapo unakuta ni muongozo wa wizara ya vibarua na ajira.

Wao wanadhani wakiwaambia wageni hivyo, basi zile OC na marupu rupu wanayopeana serikali, ndio yapo huko Binafsini.

Kama 5.3m ni basic, bila supportive package, ni ndogo kidogo.

Tanesco, Tanapa, Jwtz, TRA, Tanroads, GEPSA, Ewura, etc afisa wadogo tu wanachukua hiyo 5m kama basic
Nenda TRA kama kuna officer aliyeanza kazi analipwa 5M au Tanesco

Hakuna officer TRA analipwa hiyo

Marehemu JPM ndie aliwaongeza pesa TRA kwa at least double ,Wale wa 900,000 wakafika walau 1,800,000 na wengine wakapanda kimtindo

Kuna siri nyingi sana ,Wengi ni wezi sio mshahara

VIJANA MNA MAWAZO YA KISHAMBA SANA
 
Kaka kwa hiyo position huyo mshahara mdogo Sana ,hapo sana sana watapata candidate wa kawaida Sana,then ukiona shirika linatoa na scale yake kabisa ujue hamna kitu hapo kwenye maslai,nakumbuka 2014 nikiwa officer tu nilikuwa nakula almost 3.9M leo 2023 mtu aje aniambie 5.3m Ni mshahara mkubwa Tena kwenye international organization nitashangaa
Sasa unakua muongo jombaa.
Serikali za wenzetu huwa wanaweka wazi Mishahara, Na hiyo sio Organization ni Government Institution(department), hata Wamarekani wanafanya hivyo pia.

So acha kujiproud huo mshahara haunaaa...
 
Back
Top Bottom