Nafasi ya Makamu wa Rais wa Tanzania ni ipi, Kwanini Rais wa Zanzibar awe Msaidizi wa Rais Samia?

Ukimuweka Dr Mpango na Samia mwenye PhD ya mchongo kwenye mizani moja, Dr wa mchongo anaachwa kwa mbali sana. Utanielewa tu kama umeshawahi kufanya kazi na boss ambaye umemzidi kila kitu kasoro cheo tu.
 
Magufuli alimtumia sana Samia kwenda kuwakilisha lakini Samia anaendekeza Uzanzibari, tukiongea mnatuita wabaguzi
 
Iko siku tutatembezeana bakora. Ushamba unazidi!! Kuna kikundi kidogo sana tena chenye mrengo wa kidini kinaelekeza viongozi wetu ya kufanya! Mayeella, stay tuned!
 
Je "mbara" ana haki sawa na mtanzania??
 
"Hakuna mtanganyika ila kuna mzanzibari" Haya mambo we acha tu!
 
Nakaribia mwezi sasa nipo Zanzibar, napanga kuhamishia makao yangu huku.
 
Katiba ya hovyo kabisa, Zanzibar inapaswa kuwa ni mkoa
 
We hamishia tu huko lakini tunajua huuziwi kiwanja huko utapanga adi ufe alafu uje uzikwe kwenu bulyankulu huku
Tatizo humu ndani mtu kama unatokea mabonde kuinama uko au huna hela basi unahisi na wengine pia wako kama wewe.

Anyway
 
Makurunge bagamoyo ni eneo la zanzibar niliona kwenye taarifa ya habari wakitoa onyo kali wa wakazi wa Tanzania wanaokwenda kujenga kule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…