Nafasi ya Makamu wa Rais wa Tanzania ni ipi, Kwanini Rais wa Zanzibar awe Msaidizi wa Rais Samia?

Kulikuwa hakuna haja kuanzisha cheo cha makamu wa Rais ingebaki tu kama awali makamu ni Rais wa Zanzibar na Waziri mkuu basi hata kama ingetokea Zanzibar inaongozwa na Rais kutoka chama tofauti.
Huko mbali sana na waziri mkuu msaidizi?
 
Ujio wa mfumo wa vyama vingi ulitukanganya...
Kwa itifaki za Muungano, Rais wa Zanzibar alipaswa kuwa ndiye Makamu/Makamo wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Hisia zikaja kwamba, ikitokea kule Zanzibar kashinda mtu wa Chama fulani, itakuwaje? Katiba ikabadilishwa na Rais wa Zanzibar akawekwa kuwa Mjumbe wa Baraza la Mawaziri wa Muungano; ili apate fursa ya kushiriki masuala ya Muungano. Sasa wengine huchukulia u-Rais wa SMZ kuwa sawa na u-Waziri wa Muungano..HII SI SAHIHI. Ukiwaweka pamoja viongozi wa juu wa JMT na SMZ, Rais wa Zanzibar ni No. 3; na si kwa majukumu, bali HADHI ya kulinda Muungano!
 
Kwa kutokuitaja Tanganyika, hoja yako imekosa mashiko!
 
Mwaka 2025 tunaenda kuchagua kuongozwa na maraisi wawili Toka nchi Yao moja ndooooogo kama kawilaya.
"Ujinga ujwiga"
 
Leo umeamkia wapi? huyu ndiyo Paschal Mayalla (2016) na siyo nani hii wa 2024, aibu tupu kabisa Kinondoni ni Wilaya na wakati na wakazi zaidi ya milioni 2 Zanzibar nchi ina wakazi 1.2M.
The determinant ya jimbo, mkoa na wilaya is not determined by idadi ya watu. Zanzibar ina special status, ilikuwa nchi, tulipoungana kuwa nchi moja, Zanzibar ilipewa independent status ya mambo yake ya ndani. Nimeshauri ipewa status ya jimbo ili rais wa Zanzibar awe Gavana wa jimbo la Zanzibar.
P
 
Yes ndiyo maanake Tz iwe na majimbo 7 bara na 1 Zanzibar, tuwe na Rais mmoja pekee na Waziri Mkuu ambaye ndiyo Makamu wa Rais, tuondoe hizi gharama za hovyo nchi masikini lakini ina utitiri wa viongozi na misafara ya hovyo ambayo haina tija kwa mlipa kodi, hili jambo Mbowe kalisema sn na ndiyo mataifa ambayo yameendeleo yanafanya hivyo hata SA.
 
Naunga mkono hoja
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…