Nafasi ya Mwanaume katika Jamii

Nafasi ya Mwanaume katika Jamii

Mkuu, sijajua kwanini huwa unapenda sana kujizungumzia wewe na familia yako na huwa unakataa kabisa kukubali uhalisia wa wengine.

Siji ongelei mimi na familia yangu bali nauweka wazi uhalisia ambao aidha kwa kujua au kutokujua mnauficha. Uhalisia ambao wengi wanaishi nao na wengi mnatakiwa muishi katika uhalisia huo, kwani humo ndio inapatikana salama.
Unaamini unavyoishi na wake zako ndo na wengine wanaishi hivyo?

Naam bila shaka wengi wanaishi hivyo na wengi hawaishi hivyo. Cha msingi hapa tunaangalia usahihi na kupatia na si kukosea.
Umeona hiyo point niliyo bold? Mbona nimeirudia rudia sana. Yani kama
Una amini unavyoamini hukatazwi ni sawa.

Naamini katika kupatia na kufanya kwa usahihi kwa kuangalia maslahi na madhara. Huu ndio wito wangu kwenu. Mtoke gizani kwa kuikataa asili.
Kwahiyo mjane au mwanamke ambae hajaolewa ukimkuta anapambana utasema sababu za yeye kupambana ni zipi? Au akatafute mume wa mtu ajishikize ili asipambane uridhike? Inaonekana wewe ni muumini wa kwamba mwanamke ili aishi lazima aolewe si ndio? Inaonekana kama ni zao
La msaada kwa mwanamke! Badilisha mentality bro sio kila mtu ana imani kama yako.

Ukinijibu hili utakua umenisaidia kuelewa uelewa wako.

Kwahiyo mtu kupambana ni upotofu gani? Msichana ametoka chuo akae nyumbani hadi miaka 35 asubiri kuolewa kwasababu kwako wewe akipambana basi ana upotofu! Aisee nasikitishwa na fikra za hivi

Hapa naona unataka kuhamisha goli, nukta yangu mimi ya mzozo ni zile sababu za uongo mnazo zileta kuhalalisha uovu wenu wakupambana.

Mimi napmkuta mwanamama mjane au mwanamke ambaye hajaolewa nitamuuliza maswali haya kwanza :

1. Je hana wa kumletea yaani wa kumtunza ?
2. Je akipatikana wa kumuhudumia na kumtunza ataacha kupambana ? Hapa ndipo ukweli utawekwa wazi.

Kwanini umekimbilia akatafute mume wa mtu kwani lazima awe mume wa mtu ?

Hapa hakuna suala la imani hapa sisi tunaangalia kupatia na sio kukosea, nyinyi akili hiyo hamna ya kufikiri kwa kutafakari, mmekuwa kama masponji kwenye kila kimiminika mnafyonza tu, hamna muda wa kuangalia hasara wala faida, ndio maana huwa tunasema hamna akili. Yaani mnayafikiria mambo juu juu tu.

Hayaya mwisho ndio maana elimu imekuwa haiwafai, hivi ushawahi kujiuliza kwanini unasoma ? Unasoma ili uondoe ujinga au unasoma ili uje upate kazi ? Sisi wengine tuko tofauti sisi tunasoma ili tuondoe ujinga. Ndio maana wanawake wasomi wamekuwa dhalili sana na hawana akili nje ya waliyo yasoma na wamekalia uoga, ujinga, ujuaji, kiburi uvivu na ujeuri.
 
Siji ongelei mimi na familia yangu bali nauweka wazi uhalisia ambao aidha kwa kujua au kutokujua mnauficha. Uhalisia ambao wengi wanaishi nao na wengi mnatakiwa muishi katika uhalisia huo, kwani humo ndio inapatikana salama.


Naam bila shaka wengi wanaishi hivyo na wengi hawaishi hivyo. Cha msingi hapa tunaangalia usahihi na kupatia na si kukosea.


Naamini katika kupatia na kufanya kwa usahihi kwa kuangalia maslahi na madhara. Huu ndio wito wangu kwenu. Mtoke gizani kwa kuikataa asili.


Hapa naona unataka kuhamisha goli, nukta yangu mimi ya mzozo ni zile sababu za uongo mnazo zileta kuhalalisha uovu wenu wakupambana.

Mimi napmkuta mwanamama mjane au mwanamke ambaye hajaolewa nitamuuliza maswali haya kwanza :

1. Je hana wa kumletea yaani wa kumtunza ?
2. Je akipatikana wa kumuhudumia na kumtunza ataacha kupambana ? Hapa ndipo ukweli utawekwa wazi.

Kwanini umekimbilia akatafute mume wa mtu kwani lazima awe mume wa mtu ?

Hapa hakuna suala la imani hapa sisi tunaangalia kupatia na sio kukosea, nyinyi akili hiyo hamna ya kufikiri kwa kutafakari, mmekuwa kama masponji kwenye kila kimiminika mnafyonza tu, hamna muda wa kuangalia hasara wala faida, ndio maana huwa tunasema hamna akili. Yaani mnayafikiria mambo juu juu tu.

Hayaya mwisho ndio maana elimu imekuwa haiwafai, hivi ushawahi kujiuliza kwanini unasoma ? Unasoma ili uondoe ujinga au unasoma ili uje upate kazi ? Sisi wengine tuko tofauti sisi tunasoma ili tuondoe ujinga. Ndio maana wanawake wasomi wamekuwa dhalili sana na hawana akili nje ya waliyo yasoma na wamekalia uoga, ujinga, ujuaji, kiburi uvivu na ujeuri.
sasa kama unaangakia kwenye kupatia tu na sio ukosefu kwanini unakomalia kuwashutumu wanawake?

Wewe una shida kubwa sana hii mada nimeimaliza
 
sasa kama unaangakia kwenye kupatia tu na sio ukosefu kwanini unakomalia kuwashutumu wanawake?

Wewe una shida kubwa sana hii mada nimeimaliza

Sababu nafasi ya mwanamke kwenye jamii ni kubwa sana, ukisoma historia utakuta wanawake wa zamani walikuwa wanazalisha mashujaa na wanaume hasa. Tofauti na sasa Wanawake wamekuwa wajinga kupindukia japokuwa wapo kwenye zama za usasa.

Nafurahi kuona umeimaliza hii mada kwa mtindo huo.
 
I've seen very strong men I know who left their house and leave everything and start a new life somewhere,after almost ten, fifteen to twenty years of hustling for their families!

What's wrong with them?

When a woman decides to stab you ,you can't stand still no matter how masculine you are!!

Sorry for broken,but delivered!
 
Tofauti na sasa Wanawake wamekuwa wajinga kupindukia japokuwa wapo kwenye zama za usasa.
hapa nikikujibu utaniita feminist. Kwani bro umeoa wake wa aina gani???? Yani hao wawili ndo utujumuishe wote.
 
hapa nikikujibu utaniita feminist. Kwani bro umeoa wake wa aina gani???? Yani hao wawili ndo utujumuishe wote.

Unahisi mimi naishi nje ya dunia hii nini ? Ulisoma nilichokiandika huko juu ? Wake zangu wote ni wasecular na wapo nyumbani hawafanyi kazi zaidi ya kulea watoto na kusimamia mambo ya nyumbani.

Watu mfano wangu wako wengi mno.
 
Unahisi mimi naishi nje ya dunia hii nini ? Ulisoma nilichokiandika huko juu ? Wake zangu wote ni wasecular na wapo nyumbani hawafanyi kazi zaidi ya kulea watoto na kusimamia mambo ya nyumbani.

Watu mfano wangu wako wengi mno.
🤣🤣🤣🤣🤣endelea kufuga misukule hiyo!🤣

Ukifa waletewe vitoto vya nje ndo watajua hawajui. Wanaume hamna maana.

Yani mwanaume umezaa nae watoto ila mali anawaachia dada zake🤣 au huwa mnazaa na dada zenu pia? Wanawake fanyeni kazi muwe na financial freedom hawa wanaume watakuja kuwaliza nyie endeleeni🤣
 
🤣🤣🤣🤣🤣endelea kufuga misukule hiyo!🤣

Ukifa waletewe vitoto vya nje ndo watajua hawajui. Wanaume hamna maana.

Yani mwanaume umezaa nae watoto ila mali anawaachia dada zake🤣 au huwa mnazaa na dada zenu pia? Wanawake fanyeni kazi muwe na financial freedom hawa wanaume watakuja kuwaliza nyie endeleeni🤣
Tuishie hapa maana naona naona umerudi katika umbile lako la ukike, unaanza kuwasema vibaya wanawake wenzako wenye akili na maarifa kukuzidi wewe na mfano wako.

Kuwaita misukule unawadhulumu wake zetu sababu wana akili kuwazidi nyinyi.

Sisi wengine hatuzai nje ya ndoa zetu, sababu kufanya hivyo kuna haki za msingi tutawanyima au watakosa hao watoto wa nje toka kwetu.

Halafu unakuta wake zetu wanamiliki mali nyingi kuliko nyinyi ambao mnapambana.
 
Tuishie hapa maana naona naona umerudi katika umbile lako la ukike, unaanza kuwasema vibaya wanawake wenzako wenye akili na maarifa kukuzidi wewe na mfano wako.

Kuwaita misukule unawadhulumu wake zetu sababu wana akili kuwazidi nyinyi.

Sisi wengine hatuzai nje ya ndoa zetu, sababu kufanya hivyo kuna haki za msingi tutawanyima au watakosa hao watoto wa nje toka kwetu.

Halafu unakuta wake zetu wanamiliki mali nyingi kuliko nyinyi ambao mnapambana.
🤣🤣🤣hizo mali wanazomiliki wamezitoa wapi? Jipe moyo umeoa wanawake wanaopenda kuwa magoli kipa ndo unasema wana akili?
 
🤣🤣🤣hizo mali wanazomiliki wamezitoa wapi? Jipe moyo umeoa wanawake wanaopenda kuwa magoli kipa ndo unasema wana akili?

Mali unawawezesha na wengine wanazo mali za kurithi kwahiyo wanaziendeleza tu.

Aisee sikufichi ongea mengine bibie, kwa akili huwafikii.
 
Mali unawawezesha na wengine wanazo mali za kurithi kwahiyo wanaziendeleza tu.

Aisee sikufichi ongea mengine bibie, kwa akili huwafikii.
Kwa kusema siwafikii akili inawezekana maana mi akili ya kukubali kuolewa mke wa pili sina na siitaki.
Ila kama mwanamke kuvaa na kula ni kwa Bwana lazima akubali mitala!!

Wanaume wa kiislam sunna zote hamzifatishi ila la kuoa wake wengi tu🤣 kazi mnayo eti wake zako siwafikii akili kwa mali za kurithi?? Hujiskii udhaifu kutamka hayo?? Huyo wako atajilinganisha na mimi nnaeshirikiana na Mzee kuzitafuta kwaajili ya watoto wetu?! Ah usintanie

Humu kila mtu ana uwezo wa kutunza wake wawili. Kwa Uchumi upi? Huu
Huu?? Kama mna ishi mbagala kingugwi huko hata wanne unaoa ila sio huku kwetu. Kule mnauziana mboga ya mchana kwa kijiko lazima watulie, kivazi cha bei kijora. Bro njoo uone hawa wa kwetu nakwambia Lazima usande! Muulize haji manara na dr mwaka
 
Mali unawawezesha na wengine wanazo mali za kurithi kwahiyo wanaziendeleza tu.

Aisee sikufichi ongea mengine bibie, kwa akili huwafikii.

View: https://www.instagram.com/reel/C62bE7Cr4Kd/?igsh=OXFjaXEzeWs4OWwy
Na hiki ndo chanzo cha kuomba haki sawa kwa wanawake. Ona jinsi wanawake walivyo nyanyaswa na kuonekans vichaa wakawa wanaenda kuteseka kwenye asylums.

Nyinyi. Wanaume ndo mmetengeneza kizazi cha wanawake majasiri. Mli misuse nguvu zenu mkaona wanawake hawawezi kujitetea. Hongereni sana
 
Nyinyi sio kwamba mnaomba haki sawa mnataka kufanana haki. Hapa ndipo mlipopotezwa.
Kwahiyo wanawake wangekuwa wanawasakizia wanaume kwenye hizo asylums mngekubali? Na kwanini tusiwe na haki? Kwani sisi ni wanyama?! Leo ndo nimekubamba sasa una mentality ya kidikteta wake zako wana kazi! So hawana haki. Okaay
 
Nyinyi sio kwamba mnaomba haki sawa mnataka kufanana haki. Hapa ndipo mlipopotezwa.
Pole sana kaka wewe na Vushi mtata mlifanya kazi kubwa sana kubishana na huyu mwanamke juha asiyejua hata anasimamia wapi.

Kwa jinsi alivyoileta hii mada pamoja na comments zake alzokuwa akiwajibu, ni mtu anayetamani kubaki na ile women/weaker gender privilege hasa kwenye suala la bills na wakati huo huo akijifanya na yee kuwa ngangari sawa au zaidi ya mwanaume ndani ya mahusiano.

Wanawake kama huyu huwa ni zaidi ya cancer na hawafai kabisa kuwa nao kimahusiano... na kuna uwezekano mkubwa sana huyu hana mume wala hayuko kwenye mahusiano yoyote.

Hebu ona kwanza mmejibishana nae kwa amani tangu mwanzo, ila amekuja kuonesha uhalisia wake kwenye hizi comments zake za mwisho kwamba na yeye ni miongoni mwa wale tunaowaita "bitter toxic modern women ambao wana chuki kali sana na wanaume.

Mwanamke mwenye akili timamu hawezi kuwaita Wanawake wenzie miskule eti kwa sababu tu hawaishi kama anavyotamani yeye kuishi....

Angalia hata hicho kisa alicholeta humu kutoka huko Instagram, hiyo page MeToo ni moja ya popular feministic pages huko Instagram ambayo followers wake wengi ni wanawake majuha, mafeminists,watalaka na wanawake wenye maumivu makali sana ya kihisia ambao wana chuki kali sana na wanaume(misandrist).

Sasa nyie wawili hapa mlikuwa mna deal na misandrist bila kujua na hizi comments zake za mwisho ndio rangi yake halisi na hivyo ndivyo jinsi anavyowachukulia wanaume(maadui zake) huko mwanzoni alikuwa anajikaza tu kuandika logic
 
Pole sana kaka wewe na Vushi mtata mlifanya kazi kubwa sana kubishana na huyu mwanamke juha asiyejua hata anasimamia wapi.

Kwa jinsi alivyoileta hii mada pamoja na comments zake alzokuwa akiwajibu, ni mtu anayetamani kubaki na ile women/weaker gender privilege hasa kwenye suala la bills na wakati huo huo akijifanya na yee kuwa ngangari sawa au zaidi ya mwanaume ndani ya mahusiano.

Wanawake kama huyu huwa ni zaidi ya cancer na hawafai kabisa kuwa nao kimahusiano... na kuna uwezekano mkubwa sana huyu hana mume wala hayuko kwenye mahusiano yoyote.

Hebu ona kwanza mmejibishana nae kwa amani tangu mwanzo, ila amekuja kuonesha uhalisia wake kwenye hizi comments zake za mwisho kwamba na yeye ni miongoni mwa wale tunaowaita "bitter toxic modern women ambao wana chuki kali sana na wanaume.

Mwanamke mwenye akili timamu hawezi kuwaita Wanawake wenzie miskule eti kwa sababu tu hawaishi kama anavyotamani yeye kuishi....

Angalia hata hicho kisa alicholeta humu kutoka huko Instagram, hiyo page MeToo ni moja ya popular feministic pages huko Instagram ambayo followers wake wengi ni wanawake majuha, mafeminists,watalaka na wanawake wenye maumivu makali sana ya kihisia ambao wana chuki kali sana na wanaume(misandrist).

Sasa nyie wawili hapa mlikuwa mna deal na misandrist bila kujua na hizi comments zake za mwisho ndio rangi yake halisi na hivyo ndivyo jinsi anavyowachukulia wanaume(maadui zake) huko mwanzoni alikuwa anajikaza tu kuandika logic
Katika majuha mliojaa humu jf wewe ni kiongozi! Sibishani na wapumbavu na hamuwezi kunibadilisha msimamo nlionao juu ya nnavyoishi na mwanaume. A man is a provider hiyo ya kwako sijui natafuta privilege ipigie mstari. Siwezi kukaa na mwanaume ndani nihudumie familia na ye yupo anajiita mwanaume ntakuchosha akili tu. And yes, mwanamke anaekubali ndoa za mitala na bado anakaa tu nyumbani ni msukule. Kabishane na ukuta. Juha pro max 🚮
 
Katika majuha mliojaa humu jf wewe ni kiongozi! Sibishani na wapumbavu na hamuwezi kunibadilisha msimamo nlionao juu ya nnavyoishi na mwanaume. A man is a provider hiyo ya kwako sijui natafuta privilege ipigie mstari. Siwezi kukaa na mwanaume ndani nihudumie familia na ye yupo anajiita mwanaume ntakuchosha akili tu. And yes, mwanamke anaekubali ndoa za mitala na bado anakaa tu nyumbani ni msukule. Kabishane na ukuta. Juha pro max 🚮
Kwamba kuna mwanaume yuko na wewe Halafu nae anajiona amepata mwanamke? Yaani yuko proud kabisa kuwa na mwanamke wa aina yako?
 
Habari ya asubuhi.

Nimekutana na hiki kibonzo mtandaoni nikasema acha ni share

Wanaume wengi sasa wanalalamika wanawake wamekua na elements za u-masculine au wanaonesha ungangari lakini mnajua sababu?

Unakuta mwanaume yupo ndani na mkewe,
Bulb imeungua usiku mwanaume anasema anampigia fundi kwa simu hapatikani so wanalala giza. Bro hawezi kubadilisha bulb.

Wanatembea na gari inapata pancha mwanaume anashika kichwa hajui anafanyaje anamtafuta fundi abduli wa magari hampati safari inaishia hapo.

Najua mtabisha lakini nawaambia masculine men wapo wachache sana sana sana sana na hiko ndo kinawafanya wanawake wavue gamba la unyonge waanze wao kujaribu kufanya hivyo vitu ili gurudumu liende. Wakishajaribu tayari wanaume wanakasirika wanakwambia mwanamke anataka kushindana na nature,
Mwanamke anataka kujifananisha na mwanaume. Nani kakwambia wanataka kuwa kama nyinyi?
Mnafika sehemu unakuta mhuni anamkosea heshima mwanamke mbele ya mwanaume wake, mwanaume anashindwa kustep up kwa ajili ya mwanamke wake, anakaa pembeni anasema ye hapendi shari. Hivi hapo huyo mwanamke atafanyaje kama sio kujivika vazi la umasculine na mara nyingi changamoto zinaanziaga hapo.

Wanawake wanajipambania kwasababu mwanaume waliemkabidhi nafasi ya uongozi anashindwa kukaa kwenye nafasi so mwanamke ana feel hayuko protected,

Kila mmoja ana nafasi yake katika uhalisia lakini mmoja anaposhindwa kuisimamia nafasi yake automatically huyu mwanamke itabidi aanze kujipambania mwenyewe. Sijasema hizo ndo sababu pekee zinazofanya mwanamke aone she has to step up zipo nyingi sana na hii kitu haiibuki tu out of nowhere unakuta ni kitu kimejijenga.

Ngoja niwape mfano, mtoto wa kiume analelewa zile familia za ‘daddy I’m going’ kila kitu anafanyiwa, nguo anafua dada wa kazi hadi akifika chuo, hata nyasi zikiota nyumbani anaitwa kijana wa jirani au houseboy anafanya. Huyu mtu akipata familia yake af ye ndo awe baba lazima utaskia malalamiko na kwa bahati mbaya akikutana na mwanamke wa opposite yake lazima watagombana kwasababu mwanamke anategemea Baba atafanya, baba hafanyi, mwanamke anashika kifaa anajaribu kufanya mwenyewe-tayari anataka kushindana na mwanaume.

Haya unakuta sasa ndo hizi familia zetu za kawaida, kijana amemaliza chuo anategemea kuna kazi za 9-5 atakaa ofisini anajishkiza sehemu kwenye ofisi anatafuta na mke anaoa, bahati mbaya akipoteza ile kazi ndo basi anarudi nyumbani anashinda na playstation ( najua mtabisha lakini hawa watu wapo) wengine wanashinda kwenye simu tu lets say ni kwasababu ya frustration hivi hapo nani atabidi a step up!!
Ili familia iende itabidi yule mwanamke asimame akapambane familia ile na watoto waende shule.

Haya huu ni ukweli ambao wengi hamuutaki, wanaume wengi sasa hivi hawataki wanawake ambao hawana kazi. ‘Utaskia pambana mamie tusaidiane majukumu.’ Seriously. Sasa unakuta wanaume wengine nje wanadhani yule mwanamke ni feminist sijui anataka 50/50 hawajui ndani ya nyumba anaishi na mwanaume wa aina gani. Unakuta mwanaume anasema kabisa mimi nta deal na ada na kodi ya nyumba wewe deal na kulisha familia, mifano hai ipo kabisa. Hawa wanawake ndo mnaokutana nao humo makazini hawana furaha maana nyumbani hakuna furaha, mume hana muda nae wote wana stress za kazini, inabidi a meet end needs za kuprovide part yake. Two bulls in the house🤦🏾‍♀️

My call is for some men to step up.
Protect your ladies, stand up for your families, let your woman know that she has a man inside. Hata kama hujui kutengeneza gari amka asubuhi fungua bonnet shika shika hata betri pale gonga gonga hata kachuma kamoja, shika hata wheel spana kaza tairi yani kuwa busy uone mwanamke anavyo feel.

Wanaume nilikua nasubiri sana zitokee mada za kusema ukweli wa kwanini hali sasa imebadilika naona mnatupia lawama kwenye end result tu hamsemi chimbuko la tatizo. Baadhi yenu mmekulia kwenye maisha tofauti sana so kila mtu ananamna yake ya kuendesha majukumu ya familia yake. Yaani mwanamke anaona bila kupambana hapa watoto wangu hawatasoma. Mwanaume kila akija anasema hajalipwa mshahara of which kwa wengine huwa ni kweli kwa wengine ni njia ya kukwepa majukumu. Nini kitatokea?

I call out for peace humu. Sitegemei heka heka zozote wala nadharia za hawa watoto wa kizazi hiki. Kama huna any positive comment kindly pita tu.

Kwa wanaume ambao wana project masculine energy kudos to you. Hamjui tu ni kiasi gani mwanamke anashuka na kuuvaa ukike mnapo step up. Having a person you can rely on ni nzuri kwa afya zetu🤝

View attachment 3007949
Mfano mwanamke ana kipato kikubwa zaidi ya mumewe mara.tano. Bado utataka mwanaume atimize majukumu yote kwasababu ni mwanaume?
 
Back
Top Bottom