Unaweza kuomba Ila vipi usail Kama na huko utakuwepo na utasimamiwa na watendaji itakuaje Mana Hawa watendaji sio poaNa shida kubwa moja sana. Naitaji ufafanuzi hapa ; Mie nimepanga kutafuta wilaya yenye maeneo ya vijijini , maana mijini wengi wataomba then wata chujwa kwa kasi ya 5G , so hivi hapa , nikiomba MOSHI VIJIJINI DC , Maana nipo MOSHI MJINI ntapata kweli ? , kuhusu kata mpaka shehiya hiyo ntazurura kwenye ofisi za serikali za vijiji. Then nta process ,
Mie hata sina hamu kabisa na hizi nafasi ya kufanyiwa mchujo ofisi za mtaa;Mtendaji mtaa ana mtu wake,Mw/kiti,Wale wajumbe wa ofisini,Diwan ana wale wadhamin wake ,wana watoto wao wanamuambia awape kazi,Mabalozi wana watoto wao..Unaweza kuomba Ila vipi usail Kama na huko utakuwepo na utasimamiwa na watendaji itakuaje Mana Hawa watendaji sio poa
Kuna mpaka ma comrades wa chama,ngazi za mtaa,kata,wote wanahusika..yaan chain ni ndefu..ukipita hujuani na mtu ,yan ukipata pesa unakimbiza zaka kanisani..hahhaMie hata sina hamu kabisa na hizi nafasi ya kufanyiwa mchujo ofisi za mtaa;Mtendaji mtaa ana mtu wake,Mw/kiti,Wale wajumbe wa ofisini,Diwan ana wale wadhamin wake ,wana watoto wao wanamuambia awape kazi,Mabalozi wana watoto wao..
Ktk hyo chain kama huna ukaribu na mmojawapo,hapo hatujaenda kata..
Anwei..Nilipata ya Postikodi japo kwa bahat ila system yetu ya fursa ina kujuana sana.
Ukipata kibahat ,pia ktk kazi hupew ushirikiano ipasavyo kama wengine ..
Hahahahahahahahahahaahah... "Siyo Serikali sio raia" hahahahahahKumbe kuna watu wameshajaza na kutuma form no.1 kabla ya Tangazo halijatoka rasmin yaani week moja nyuma kabla serikali haijatangaza ajira.
Hii nchi kwa upigaji ni namba moja, siyo serikali siyo raia.
Umeongea point huu mchakato kule ngaz ya kata ni kujuana tuMie hata sina hamu kabisa na hizi nafasi ya kufanyiwa mchujo ofisi za mtaa;Mtendaji mtaa ana mtu wake,Mw/kiti,Wale wajumbe wa ofisini,Diwan ana wale wadhamin wake ,wana watoto wao wanamuambia awape kazi,Mabalozi wana watoto wao..
Ktk hyo chain kama huna ukaribu na mmojawapo,hapo hatujaenda kata..
Anwei..Nilipata ya Postikodi japo kwa bahat ila system yetu ya fursa ina kujuana sana.
Ukipata kibahat ,pia ktk kazi hupew ushirikiano ipasavyo kama wengine ..
Bado inakusumbua au tyr umefix ndg?Kwenye Kijiji/mtaa hakuna uchaguzi na ukijaza inagoma kwenda fomu msaada kwa aliyekamilisha hapo amefanyaje? Maana kila sehemu unataka ujaze
Ngoja atakuja kukutana na kisiki cha kutumiwa password kwenye e mail ataipata siku ya deadlineBado inakusumbua au tyr umefix ndg?
Acha copy kwa mtendajiJamani vipi huko kwenu watendaji wanabaki na copy ya form maana huyu wangu ananiambia hajapewa maelezo hayo??
IngiA inbox uchek tenaNimekamilisha kujaza form email sijapata mpaka sasa. Nimejaribu kuijaza tena wanasema email imeshatumika. Msaada
wakuu nilijaribu kumsaidia mtu kumtumia maombi, sasa nikakosea email naona nitashindwa kupata zile password na username, nimejaribu kuwapigia nbs naona namba inatumika toka kulipokucha na nikiwapata hawapokei simu.
nifanye nini niweze kupata hizo username mana hata email niliyoandika ni invalid?
Una uhakika nacho kivipi?
Hebu thibitisha Mkuu. Yaani Sensa ya mwezi wa nane, watu wawe wameahaenda semina sasa hivi?
Au hata hujui maana ya Sensa?
Umeshuhudia , umeshiriki au na wewe unasikia?
Nimejaza msimamizi wa maudhui nimeshaprint but nataka Ku edit niweke karani nafanyaje?
Hv wadau kuna uwezekano wa kuomba Mara mbili kwa maeneo tofauti au ile namba ya nida na index namba ya form inakaba
mimi inanigomea hapo hapoBado inakusumbua au tyr umefix ndg?
msaada jmnimimi inanigomea hapo hapo
Kwan ukishaiscan na kuituma si lazima wewe ubaki nayo na Ile uliyoiscan ndo utakayoituma Sasa uliyobaki nayo si uwapelekee huko ofisini......????Ndio tumeziacha pale, og au hata copy
Hawana Muda wa kuyakagua hayo madole gumba we weka, wangesema na namba za nida za wadhamini hapo ndo ingekuwa shida kuweka Hilo gumba lako.Kwani nikiweka madole gumba yangu kwenye sehemu ya wazamini watajuaje hayo madole gumba sio yakwao