INTROVERT MAN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 993
- 1,343
Hii ndio hip hop sasaOna huyu, taja wilaya watu wajue trend
Ndio, sio wote walioomba wamepata. Ila Bado Kuna mchujo wa Pili wa InterviewKwani haya majina yanayotoka tayari yameshapunguzwa?
Watendaji wa Kata hawahusiki kwenye Usahili, Ila wanahusika pakubwa kwnye Kupanga List_Mbona hapo kwenye pdf ya Mkalama inaonesha wasimamizi wa Usaili watakuja ni Wakuu wa shule na Maafisa Elimu wa Kata
View attachment 2293127
kila saa unapost zako huo upupu wako, unaambiwa taja wilaya ulipo unauchuna...punguza utotoAsante Mungu jina langu nimeliona
Ukipata nitag mkuuJamani mkeka wa Mufindi please.
Mkeka wa mufindi please
Hahahahah daah ila watu.kila saa unapost zako huo upupu wako, unaambiwa taja wilaya ulipo unauchuna...punguza utoto
Usjar mkuuUkipata nitag mkuu
Jana niliwaambia hili,Walimu wakuu na Mafisa Elimu kata ndio waamuzi wa mchezoNa watakao wafanyia usahili watahiniwa wa nafasi za sensa sio watendaji wa kata tena bali ni walimuu wakuu kutoka shule kadhaa ambao majina yao yameshapelekwa Wilayani pamoja na waratibu elimu Kata..
Nawapongeza NBS kwa hili maana itaondoa ile dhana mtendaji ndio mwenye maamuzi ya mwisho so kila mtu atapata haki yake .[emoji857][emoji857]
Watendaji wa Kata na Vijiji hawatahusika katika usahili ila watakuepo kwenye semina zinazoanza tarehe 29.Kama una vigezo na unaamini katika Mungu wako amini kua utapata [emoji120]
Majobless wenzangu tusikate tamaa hii ni nafasi nzuri ya kuanzia maisha kama tukifanikiwa kupata kiinua mgongo cha sensa[emoji122][emoji122]
✔️✔️Mimi ni mtendaji wa kata...sasa hivi simu yangu muda mwingi natafutwa na namba mpya wakiulizia upendeleo wa majina yao ya sensa
Kata ipi hiyoTumepita 23 lakini nilipata taarifa tunahitajika watu wa 3 tu kwenye kata yetu sa sijui kama kuna ukweli kwenye hili au vipi yani.[emoji1]
Umeihakiki kuwa ni kweli??Angazetu - Nafasi za Kazi zilizotangazwa leo
Nafasi za kazi zilizotangazwa leo , Maombi ya Vyuo, Nafasi za Kazi Serikalini (Ajira Portal na Habari zote za Kielimuwww.angazetu.com
daaah kama ni hivyo jina langu likitoka basi nimepita maana nimesoma mambo yotee kuhusu sensa,maana ya sensa ,umuhimu wa sensa ,sensa kwa mara ya kwanza ilifanyika mwaka gani na idadi ilikua ngapi,na kamisaa wa sensa mwaka huo alikua nani,na kuna changamoto gani katika kuhesabu watu,kuna tofauti gani kati ya sensa zilizopita na hii?? n.kJana niliwaambia hili,Walimu wakuu na Mafisa Elimu kata ndio waamuzi wa mchezo
🤣Hapatakua naa usali majina yatatoka moja kwa moja
Weka link mkuuKaliua washabandika na mimi nipo