Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Tumepita 23 lakini nilipata taarifa tunahitajika watu wa 3 tu kwenye kata yetu sa sijui kama kuna ukweli kwenye hili au vipi yani.[emoji1]
 
Na watakao wafanyia usahili watahiniwa wa nafasi za sensa sio watendaji wa kata tena bali ni walimuu wakuu kutoka shule kadhaa ambao majina yao yameshapelekwa Wilayani pamoja na waratibu elimu Kata..

Nawapongeza NBS kwa hili maana itaondoa ile dhana mtendaji ndio mwenye maamuzi ya mwisho so kila mtu atapata haki yake .[emoji857][emoji857]

Watendaji wa Kata na Vijiji hawatahusika katika usahili ila watakuepo kwenye semina zinazoanza tarehe 29.Kama una vigezo na unaamini katika Mungu wako amini kua utapata [emoji120]

Majobless wenzangu tusikate tamaa hii ni nafasi nzuri ya kuanzia maisha kama tukifanikiwa kupata kiinua mgongo cha sensa[emoji122][emoji122]
Jana niliwaambia hili,Walimu wakuu na Mafisa Elimu kata ndio waamuzi wa mchezo
 
Jana niliwaambia hili,Walimu wakuu na Mafisa Elimu kata ndio waamuzi wa mchezo
daaah kama ni hivyo jina langu likitoka basi nimepita maana nimesoma mambo yotee kuhusu sensa,maana ya sensa ,umuhimu wa sensa ,sensa kwa mara ya kwanza ilifanyika mwaka gani na idadi ilikua ngapi,na kamisaa wa sensa mwaka huo alikua nani,na kuna changamoto gani katika kuhesabu watu,kuna tofauti gani kati ya sensa zilizopita na hii?? n.k
 
5B51C101-C123-4012-8A1C-0F4CBB73313D.jpeg
 
Back
Top Bottom