LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,255
- 6,252
tuambie hayo maswaliWakulungwa usahili wa tehama sio mchezo...full maswali half Ngoma kwa ngeli ni shidaaaa......
Hapo imebaki maombi tyu [emoji1787][emoji1787]Wakulungwa usahili wa tehama sio mchezo...full maswali half Ngoma kwa ngeli ni shidaaaa......
Hongera.Aisee, ningeomba huko ningetoboa
Sidhani kama ni halmashauri yote labda ni kwa baadhi ya kata tu.....mana hata kwenye tovuti ya morodc bado ni bila bilaMorogoro dc tayar toka jana mvomero leo
Temeke tyr tangu Jana ,cheki kata yakoMkeka wa Temeke bado?
Huo mkeka upo wapi?!Temeke tyr tangu Jana ,cheki kata yako
We si unasemaga humu ushapata ajira NGO wewe au ? Halafu kila siku mnawananga jobless Republic humuNBS Kwa hili mmejivua nguo sana.sikutegemea Kama hali ingekuwa ovyo namna hii na mpaka Sasa kimya hamjatoa ufafanuzi
Utaambiwa anafuatilia mchakato kwa kuwa ni mzelendo.We si unasemaga humu ushapata ajira NGO wewe au ? Halafu kila siku mnawananga jobless Republic humu
naomba eweke na page inayofuata
Nipe possible mkuuWakulungwa usahili wa tehama sio mchezo...full maswali half Ngoma kwa ngeli ni shidaaaa......
shukrani sana ndguKWA WALE WANAOENDA USAILI JIONGEZEENI MAARIFA KIDOGO KUHUSU SENSA [emoji116].
Sensa ya Watu na Makazi ni zoezi la kitaifa linalofanyika kila baada ya miaka 10 ambapo Sensa ya mwisho kufanyika nchini ni ile ya mwaka 2012.
Hivyo Sensa ya mwaka 2022 itakuwa ni sensa ya sita kufanyika nchini baada ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwaka 1964.
Sensa nyingine zilifanyika [emoji116] >>1967
hahahahaha wengine majobless tu ila wanajifanya wameajriwa kumbe nothng is real.We si unasemaga humu ushapata ajira NGO wewe au ? Halafu kila siku mnawananga jobless Republic humu
Mkuu upload page ya kwanza peke yake.