Kwetu wote maswali yalifananaKarani aulizwe maswali ya maudhui?
mkuu labda kwenu huko ila kwetu tumepanga mistari tofauti na hata majina yako karatasi tofauti
sahihi kabisaa,lakini wewe huko unaendeleaje na pia pole sanaaaa kwa kukatwa jina lako.Mkuu usipotoshe
Labda uniambie point ya kwanza TU ya digital na ile ya vitambulisho nyingine zote zipogoView attachment 2298640View attachment 2298641
Dah afadhali wewe.mimi wameniuliza sensa ya mwsho ilifanyika mwaka gani ni kamjbu 2012 ,,je,ikitokea ukapangiwa eneo jingine utakubali?nikajibu nitakubali,akaniandikia makisi ,akaniambia tayari tushamaliza,nikasema asante nikaondoka.
Angalia tu na location yenyewe ni mjiniAisee Unemployment is real wakuu
Hapa kata ya Mbagala kuu walioitwa kwenye usaili nafasi ya karani wa sensa ni 700+,Nafasi za maudhui ni 200+ na wataalamu wa Tehama ni 200+
Sema kama ipo ipo tuKata ya uru kusini , majina ya wasahiliwa yalikuwa zaidi ya 400+ pamoja na muda wenywe wa usahili , kazi ilienda hivyo basi , nipo na jiuliza hapa. Idadi ile je sisi. Jobless graduates je tunaweza fikiriwa ?? Au. Tuanze kuchukua hatua nyingine , maana mimi nataka niende katika wilaya moja wapo hapa kilimanjaro ye yenye upungufu wa makarani nika jaribu kuulizia kama naweza ingizwa kwenyw system huko huki , wilaya hizo ni hai dc au rombo dc
Kupata mkopo mwisho ni miaka mingapi?MAOMBI YA MKOPO HESLB, VYUO, NACTE, RITA
Kama una mtoto, ndugu, jamaa au wewe mwenyewe unajiandaa kujiunga na elimu ya chuo kikuu mwaka huu:
Karibu nikusaidie kwa huduma zifuatazo:
1.Uhakiki wa vyeti vya kuzaliwa, Rita
2. Kutuma maombi nafasi za masomo ya vyuo vikuu
3. Maombi ya mkopo, bodi ya mkopo elimu ya juu HESLB
4. Maombi NACTE
Piga namba hizi:0683992623
0628368636(ofisi)
Kwa wakazi wa Kitunda, Matembele, Banana na Fremu kumi tafadhali fika ofisini Fremu kumi Mwisho wa gari, kwa ushauri zaidi.
Ushauri ni bure, Piga nikupe mwongozo wa kielimu.
Tafadhali mfikishie muhusika(share).
Niko zangu mbwinde huku vijijini nakula Bata kazi uhakika.Angalia tu na location yenyewe ni mjini
Dar es laam watu wapo wengi
Kuna sehemu huko vijijini walioitwa kwenye usaili hawafiki 100 hapo watachukuliwa wote plus kuongeza watumishi wafike max 50 wanaohitajika
Lakini nyengine watu 700
Hapo connection inakuwa kubwa
Acha uongo tehama hawafiki 200 hata idadi ya wilaya nzima ya temeke hawafiki 100 walofanya interview kwa wilaya ya temekeAisee Unemployment is real wakuu
Hapa kata ya Mbagala kuu walioitwa kwenye usaili nafasi ya karani wa sensa ni 700+,Nafasi za maudhui ni 200+ na wataalamu wa Tehama ni 200+
na wapi??Ivi majibu yao yanatolewa lini
Me sijakata ila Nilikuwa safarini kikazi halafu kwa nafasi niliomba ya maudhui nilishatonywa nisijisumbue...Nafasi za maudhui ni chache na zimechukuliwa na jopo la usaili automatic...riziki zangu mkuu NI ndefu Kuna mamilion yangu yanakuja soon ya Nini nikapambane kwenye foleni halafu najua kbs nitakatwa....hafu hatukuwa wengi tulikuwa 70 halafu ktk kata yetu Kuna mitaa 10....means kila mtaa wangetoka watatu jumla 30 ningeweza kubahatisha ila nafsi ikanisuta acha niwaachie jobless wapate hela za kulima wenye akili lakinisahihi kabisaa,lakini wewe huko unaendeleaje na pia pole sanaaaa kwa kukatwa jina lako.
Wenye connection nasikia wmeshapigiwa simuIvi majibu yao yanatolewa lini
Wewee leo si ndo wana maliza zoezi la usahili alafu kumbe malipo ya zoezi lote nasikia ni 500k tuWenye connection nasikia wmeshapigiwa simu
ndio wanamalizia leo ila tuliofnya jana c tyar majbu yanajulkanaWewee leo si ndo wana maliza zoezi la usahili alafu kumbe malipo ya zoezi lote nasikia ni 500k tu
Mmekwisha pigiwa simundio wanamalizia leo ila tuliofnya jana c tyar majbu yanajulkana
Safi sana mkuuNiko zangu mbwinde huku vijijini nakula Bata kazi uhakika.
simu bdo ila kuna mshkaji wngu yeye ana connection kapigiwa jana usikuMmekwisha pigiwa simu
Hahahahaha dah hatari sanaaaasimu bdo ila kuna mshkaji wngu yeye ana connection kapigiwa jana usiku