Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

mimi wameniuliza sensa ya mwsho ilifanyika mwaka gani ni kamjbu 2012 ,,je,ikitokea ukapangiwa eneo jingine utakubali?nikajibu nitakubali,akaniandikia makisi ,akaniambia tayari tushamaliza,nikasema asante nikaondoka.
Dah afadhali wewe.
 
Aisee Unemployment is real wakuu

Hapa kata ya Mbagala kuu walioitwa kwenye usaili nafasi ya karani wa sensa ni 700+,Nafasi za maudhui ni 200+ na wataalamu wa Tehama ni 200+
Angalia tu na location yenyewe ni mjini

Dar es laam watu wapo wengi

Kuna sehemu huko vijijini walioitwa kwenye usaili hawafiki 100 hapo watachukuliwa wote plus kuongeza watumishi wafike max 50 wanaohitajika


Lakini nyengine watu 700

Hapo connection inakuwa kubwa
 
Kata ya uru kusini , majina ya wasahiliwa yalikuwa zaidi ya 400+ pamoja na muda wenywe wa usahili , kazi ilienda hivyo basi , nipo na jiuliza hapa. Idadi ile je sisi. Jobless graduates je tunaweza fikiriwa ?? Au. Tuanze kuchukua hatua nyingine , maana mimi nataka niende katika wilaya moja wapo hapa kilimanjaro ye yenye upungufu wa makarani nika jaribu kuulizia kama naweza ingizwa kwenyw system huko huki , wilaya hizo ni hai dc au rombo dc
Sema kama ipo ipo tu

Japo ni kauli ya kujifariji [emoji3]
 
MAOMBI YA MKOPO HESLB, VYUO, NACTE, RITA

Kama una mtoto, ndugu, jamaa au wewe mwenyewe unajiandaa kujiunga na elimu ya chuo kikuu mwaka huu:

Karibu nikusaidie kwa huduma zifuatazo:

1.Uhakiki wa vyeti vya kuzaliwa, Rita

2. Kutuma maombi nafasi za masomo ya vyuo vikuu

3. Maombi ya mkopo, bodi ya mkopo elimu ya juu HESLB

4. Maombi NACTE

Piga namba hizi:0683992623
0628368636(ofisi)

Kwa wakazi wa Kitunda, Matembele, Banana na Fremu kumi tafadhali fika ofisini Fremu kumi Mwisho wa gari, kwa ushauri zaidi.

Ushauri ni bure, Piga nikupe mwongozo wa kielimu.
Tafadhali mfikishie muhusika(share).
Kupata mkopo mwisho ni miaka mingapi?
 
Angalia tu na location yenyewe ni mjini

Dar es laam watu wapo wengi

Kuna sehemu huko vijijini walioitwa kwenye usaili hawafiki 100 hapo watachukuliwa wote plus kuongeza watumishi wafike max 50 wanaohitajika


Lakini nyengine watu 700

Hapo connection inakuwa kubwa
Niko zangu mbwinde huku vijijini nakula Bata kazi uhakika.
 
Aisee Unemployment is real wakuu

Hapa kata ya Mbagala kuu walioitwa kwenye usaili nafasi ya karani wa sensa ni 700+,Nafasi za maudhui ni 200+ na wataalamu wa Tehama ni 200+
Acha uongo tehama hawafiki 200 hata idadi ya wilaya nzima ya temeke hawafiki 100 walofanya interview kwa wilaya ya temeke

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
sahihi kabisaa,lakini wewe huko unaendeleaje na pia pole sanaaaa kwa kukatwa jina lako.
Me sijakata ila Nilikuwa safarini kikazi halafu kwa nafasi niliomba ya maudhui nilishatonywa nisijisumbue...Nafasi za maudhui ni chache na zimechukuliwa na jopo la usaili automatic...riziki zangu mkuu NI ndefu Kuna mamilion yangu yanakuja soon ya Nini nikapambane kwenye foleni halafu najua kbs nitakatwa....hafu hatukuwa wengi tulikuwa 70 halafu ktk kata yetu Kuna mitaa 10....means kila mtaa wangetoka watatu jumla 30 ningeweza kubahatisha ila nafsi ikanisuta acha niwaachie jobless wapate hela za kulima wenye akili lakini
 
Back
Top Bottom