We omba tu kila mtu kazaliwa kivyakeNilivyoambiwa na mtendaji (rfk angu)
Huko utumishi watachagua kulingana na vigezo,then watayatuma kwa maafisa utumishi wa mkoa,kila mkoa/wilaya!
Then wao nao watachagua kwahiyo ni yaleyale!.
Mi hata siombi!
Nimechoka
Mi nimetoka chenga toka jana jioniKuna aliyefanikiwa kupokelewa simu na hawa customer service wa sensa?. Maana wana namba nyingi lakini zote nimeambulia patupu tangu asubuhi mpaka mda huu, nimeamua nilale kwanza nitaziamkia saa tisa usiku
Ofisi zao zipo dodoma maeneo ganikwa wale watu wanaopata changamoto ya kutuma maombi na kushindwa kupata form au kupata ujumbe wa aidha namba ya simu email nida au namba ya form four imetumika fuata taratibu hizi kupata form au password
1. jaribu kupiga simu wakipokea waambie changamoto unazozipata watakutatulia ila hapa ni kazi sana simu yako kukielewa.
2. kama una jamaa au ndugu yako yuko dodoma mtume aende NBS akakuchukulie password yako hii njia ni 100% leo mimi nimetuma mdogo wangu wakampa password na form tayari nime print.
Namimi pia mkuuKuna aliyefanikiwa kupokelewa simu na hawa customer service wa sensa?. Maana wana namba nyingi lakini zote nimeambulia patupu tangu asubuhi mpaka mda huu, nimeamua nilale kwanza nitaziamkia saa tisa usiku
Jiongeze,,,,weka hata vidole vyako vyoteSifaidiki nayo kivipi wakati mimi ndio ninaapply na hao wadhamini wanazingua kwenye fingerprint? ndio maana nataka nijue kama ni lazima sana
barabara ya kuelekea UDOMOfisi zao zipo dodoma maeneo gani
Hatari sanaKuna aliyefanikiwa kupokelewa simu na hawa customer service wa sensa?. Maana wana namba nyingi lakini zote nimeambulia patupu tangu asubuhi mpaka mda huu, nimeamua nilale kwanza nitaziamkia saa tisa usiku
Unatakiwa kuwa nayo hii, ni moja ya vigezo vyaoIv nitaweza kuomba Kama Sina namba ya nida?
Kuna urasimu hapa. Nami nshanusa haruphuuNilivyoambiwa na mtendaji (rfk angu)
Huko utumishi watachagua kulingana na vigezo,then watayatuma kwa maafisa utumishi wa mkoa,kila mkoa/wilaya!
Then wao nao watachagua kwahiyo ni yaleyale!.
Mi hata siombi!
Nimechoka
Ngoja nijaribu kufanya hivi mkuukwa wale watu wanaopata changamoto ya kutuma maombi na kushindwa kupata form au kupata ujumbe wa aidha namba ya simu email nida au namba ya form four imetumika fuata taratibu hizi kupata form au password
1. jaribu kupiga simu wakipokea waambie changamoto unazozipata watakutatulia ila hapa ni kazi sana simu yako kukielewa.
2. kama una jamaa au ndugu yako yuko dodoma mtume aende NBS akakuchukulie password yako hii njia ni 100% leo mimi nimetuma mdogo wangu wakampa password na form tayari nime print.
Nishamaliza bdo wao tuUnatakiwa kuwa nayo hii, ni moja ya vigezo vyao
Hakuna shida bob vitu venyew ni mwendo wa vimemo so inawatosha hyo pichaKwenye form yangu picha sio coloured, nimescan na kutuma hivyo. Je, kuna shida?
Chek hyo japo inaweza kuwa na mabadiliko huko mbeleMwenye ratiba ya tarehe za matukio kuelekea sensa pls atume
Nikimtuma mtu akifika pale inabidi asemeje reception, je Kuna kikwazo chochote atakumbana nacho? Maana ninavyojua customer care wapo Dar sio dodoma kule jangwanibarabara ya kuelekea UDOM
mkuu takwimu house ni dom ukifika mapokezi kama hukupata option ya kudownload ile form unawaambia wanakuuliza namba ya simu kisha watakupatia nywila kazi inakuwa rahisi nimesha solve kesi mbili leo.Nikimtuma mtu akifika pale inabidi asemeje reception, je Kuna kikwazo chochote atakumbana nacho? Maana ninavyojua customer care wapo Dar sio dodoma kule jangwani
Mkuu Niko mbali naomba msaada wakomkuu takwimu house ni dom ukifika mapokezi kama hukupata option ya kudownload ile form unawaambia wanakuuliza namba ya simu kisha watakupatia nywila kazi inakuwa rahisi nimesha solve kesi mbili leo.