kwa wale watu wanaopata changamoto ya kutuma maombi na kushindwa kupata form au kupata ujumbe wa aidha namba ya simu email nida au namba ya form four imetumika fuata taratibu hizi kupata form au password
1. jaribu kupiga simu wakipokea waambie changamoto unazozipata watakutatulia ila hapa ni kazi sana simu yako kukielewa.
2. kama una jamaa au ndugu yako yuko dodoma mtume aende NBS akakuchukulie password yako hii njia ni 100% leo mimi nimetuma mdogo wangu wakampa password na form tayari nime print.