Gini
JF-Expert Member
- Oct 11, 2018
- 398
- 385
Umenifanya niende Kata yangu, nimekuta majina watu wanne, wapo kwenye Karani na qapo Maudhui. Mbaya zaidi majina ya Karani ni mawili na hawajawwka namba za simu, majina hayo hayo yametokea kwenye Maudhui ila yamewekwa matatu na namba za simu. Hii sio sawaPale unapomhonga mtendaji kata na diwani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2306251