Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Tupo pamoja na mimi wanikata ila Ilala noma sana watu karibia saba nilioomba nao wote wamekatwa hakuna hata mmoja ninayemjua halafu majina mengi yamejaa jinsi ya kike vidume tumepigwa KO
Hata mm wamenila kichwa na degree yangu na maswali nilijibu kwa usahihi
 
mpaka sasa wilaya ya NYAMAGANA (MWANZA JIJI) haijatoa majina.

Na kesho ndio wanasema mafunzo yanaanzaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Namanyere moja hiyo
 
Wakuu nimetoboa , Mungu amebless , daah niliomba maudhui wamenipa ukarani , Wilaya ya Magu mkoani Mwanza , za chini chini Mbunge wetu katupambania kinyama majobless.... naskia vita ilikuwa Kali Sana , zaidi ya yote Tupo pamoja Sana wanangu wa JF...
Hongera,vipi majina yanapatikana wapi nikachungulie,japo sina tumaini
 
Tupo pamoja na mimi wanikata ila Ilala noma sana watu karibia saba nilioomba nao wote wamekatwa hakuna hata mmoja ninayemjua halafu majina mengi yamejaa jinsi ya kike vidume tumepigwa KO
Acha tu ndugu yangu tujiandae tu kuhesabiwa
 
Daaah aseee bora nbs wangemaliza wenyewe tujue moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…