Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Hahahaha mie walionifanyia interview ya msimamizi wa maudhui ndio wao majina yao yametoka wengine tumepigwa chini
 
ndio lakn sio wakukate eti leo hyo sio haki wanawazngua tu lakn jumapili ndo nbs wamesema ni nani sasa wakupinge.
Umaskini unatufanya tunakua wanyonge na wajinga sana
Mm nililala leo simu za watu ndio zimenifanya niende ila kama wote tungefata taarifa na nbs nani wangempanga huko leo?

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Helq ya serikali haiwez toka kila siku kama vile unafanya saidia fundi hapo labda k8la wiki uhakika

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Huwa wanatoa Kwa Awamu, Mfano siku ya kwanza ya Semina wanaweza wakatoa Hela yote ya Semina Kwa wiki ya Kwanza, then wiki ya pili pia mkapewa Hela yote ya siku mtakazo hudhuria Kwa wiki hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…