jamesmisana
Senior Member
- Dec 8, 2015
- 120
- 159
wotee sawa tu kwa mafunzoHivi wasimamiz wa tehamA wasimamiz wa maudhui na makarani wote watalipwa sawa au kutaendaje
vipi umechomoka,,wale wa temeke vp huko??Temeke tayari wameachia sahivi mkeka
Mtandaoni bado, wameelekeza tu kuangalia kwenye kata ubaoni.Temeke tayari wameachia sahivi mkeka
Temeke nimewakubali mtu jina lake halikuwepo kwny usaili na usaili hajafanya na jina limetoka kumbe ndo maana walikuwa wanatuchelewesheaMtandaoni bado, wameelekeza tu kuangalia kwenye kata ubaoni.
Mkoa ganiKata yetu wamebadili majina tena, kutoka 282 hadi 162, kuna watu majina yao hayakuepo awali ila mkeka mpya wamo.
Kata ya Nyankumbu, Geita.Mkoa gani
Wilaya gani
na
Kata gani
?
Kama kwenye majina ya awali upo kabla hayajapunguzwa, mjomba kesho ingia kwenye mafunzo na kitambulisho chako. Utajua uko ukoKata ya Nyankumbu, Geita.
Ulitoa shingapiNimeamka nimekutana na mkeka wa Temeke, moja kwa moja nikatype jina langu nimelikuta kama MSIMAMIZI WA MAUDHUI.
Jobless naenda kupata mtaji hapa.
AL HAMDU LILLAH. . !
MmmmhTemeke mmeupiga Mwingi kuliko Sehemu yoyote hapa TANZANIA
Hakika nimekubari
Temeke Jobless wametoboa wengiUlitoa shingapi