Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Huu uzi mmeshaugeuza kijiwe cha soga notifications zinakuja najua kuna updates kumbe watu mnaleta stori za kiboya
 
Hiyo nayo hata mimi nimesikia siyo Mahudhui tu hata Makarani wasaidizi wengi watakuwa watumishi..tuisikimbie na Tablet zao
Bei ya hiyo tablet inalingana au ni chini ya malipo ya hiyo kazi. Hivyo siamini kuwa eti watahofia kutokurudishwa kwa vishkwambi. Ukitokomea nacho ndo umejilipa maana malipo ni mwishoni kabisa. Ila wadhamini watasaidia kulipa
 
Bei ya hiyo tablet inalingana au ni chini ya malipo ya hiyo kazi. Hivyo siamini kuwa eti watahofia kutokurudishwa kwa vishkwambi. Ukitokomea nacho ndo umejilipa maana malipo ni mwishoni kabisa. Ila wadhamini watasaidia kulipa
Yaani huku kila mtu anakuja na assumptions zake mkuu [emoji3]
 
Daah!! Mwisho umemaliza kwa hisia sana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakuu wa shule na walimu wakuu jana ijumaa wameagizwa kutuma majina ya walimu wote iwe wameomba au hawajaomba kazi ya sensa...majina yote yatumwe halmashauri...imetokea Meru DC
[emoji849]more info Ni kila halmashauri au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…