Mchunguzi Fukara
JF-Expert Member
- Dec 23, 2021
- 215
- 274
Bora yako wewe dish lilokaa sawa na wote tunasubilia dayworker za mda za sensaMimi nikiona post yako yeyote huwa naipuuza coz najua bado upo kwenye stage za mwisho za Puberty hivyo dishi lako halijakaa sawa.
Naomba usiniquote kuanzia sasa na mimi sikuquote tena maana kwa levo ya ujinga uliofikia haustaili kujibiwa nahofia kuambukizwa ujinga #NimemalizaBora yako wewe dish lilokaa sawa na wote tunasubilia dayworker za mda za sensa
C uliweka picha ya sura yako?Mimi mtendaji nina ugomvi naye kisa mwanamke hapendwi anahonga tu na ana wivu kisenge
Sema hili halinitishi uzuri kwenye kamati hawezi kuwa pekee yake na hajui majina yangu matatu na hajui kama nimeomba na sidhani kama wanizakugua fomu ukikusanya wanazitupa huko
Sema nini wana ktk utafutaji hasa vijana tulioingia kitaa hatuna mkono wa kutushika tuwe makini na wanawake tuwaepuke kama utaweza
Unatumia nguvu nyingi kuonekana mtu perfect sana hongera, kingine hunijui mi nani!! Na unadiliki kuniita mi mjinga' we ni ng'ombe wa mziwaNaomba usiniquote kuanzia sasa na mimi sikuquote tena maana kwa levo ya ujinga uliofikia haustaili kujibiwa nahofia kuambukizwa ujinga #NimemalizaView attachment 2267632
Hawezi kagua hana mda huo naaminiC uliweka picha ya sura yako?
Ng'ombe
Achaga ufala basiWazee wa Ramli njooni majina yametoka mmeanza kukimbia niliwambia [emoji3][emoji3]
Hajielewi huyoMimi nikiona post yako yeyote huwa naipuuza coz najua bado upo kwenye stage za mwisho za Puberty hivyo dishi lako halijakaa sawa.
Wewe huwa unamatatizo jamaa yupo sahihiUnatumia nguvu nyingi kuonekana mtu perfect sana hongera, kingine hunijui mi nani!! Na unadiliki kuniita mi mjinga' we ni ng'ombe wa mziwa
Uko sahihi.Unatumia nguvu nyingi kuonekana mtu perfect sana hongera, kingine hunijui mi nani!! Na unadiliki kuniita mi mjinga' we ni ng'ombe wa mziwa
Hajui hata Bakhresa tajiri lkn anatafuta fursa yeyote kuongezea kipato mpk kuuza maandazi biashara ambayo unafanya na watu wanaochukuliwa wa hali ya chini yeye amewahi kufanya.Hajielewi huyo
We mlongo/msumbwa mbona unasumbua watu[emoji23]Unatumia nguvu nyingi kuonekana mtu perfect sana hongera, kingine hunijui mi nani!! Na unadiliki kuniita mi mjinga' we ni ng'ombe wa mziwa
[emoji3][emoji3] nishajua we ni mlongo ama msumbwa mwenzangu natoa pointless ili tuzidi kuchangamsha hii threadWe mlongo/msumbwa mbona unasumbua watu[emoji23]
Mapambano yanaendelea,mwanangu tumetoka mbali sana toka enzi za pithithibi hadi sensa nakukubali sanaMimi mtendaji nina ugomvi naye kisa mwanamke hapendwi anahonga tu na ana wivu kisenge
Sema hili halinitishi uzuri kwenye kamati hawezi kuwa pekee yake na hajui majina yangu matatu na hajui kama nimeomba na sidhani kama wanizakugua fomu ukikusanya wanazitupa huko
Sema nini wana ktk utafutaji hasa vijana tulioingia kitaa hatuna mkono wa kutushika tuwe makini na wanawake tuwaepuke kama utaweza
Zipo wapi hizo mzee baba ?Mapambano yanaendelea,mwanangu tumetoka mbali sana toka enzi za pithithibi hadi sensa nakukubali sana
Sema kazi za sabasaba umeona? UCC
ukipata zile unakua umepata kapensheni kabla ya sensa
Daah nishachoka kichizi unakuta notification nyingi kumbe mwamba yule logan007 na mdogo wake kwibonelwa wanaanza kushtua watu na pumba zaoLeo siku imeisha haya mjipange kesho tena mje na uongo mwingine
Daah tumetoka mbali sana mzee sema nini tutatoboa tuMapambano yanaendelea,mwanangu tumetoka mbali sana toka enzi za pithithibi hadi sensa nakukubali sana
Sema kazi za sabasaba umeona? UCC
ukipata zile unakua umepata kapensheni kabla ya sensa
Inafail kutuma pdf ila ingia kwenye web ya UCC uraikuta,ila wakati unaingia tafuta kabisa mfanyakaz toka chuo cha UD awe kama mdhaminiZipo wapi hizo mzee baba ?
Amen amenDaah tumetoka mbali sana mzee sema nini tutatoboa tu