Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Yaaah Mimi supu na chapati ndo ugonjwa wangu.. Huku kwenye bando tutapambana na hz VPN Hadi watakuposhusha beiπNitashkuru sana kiongozi [emoji110]Fanya hivyo na mimi ela za bando nianze kula supu kama shombe
Je hiyo ya halotel abcd zake unazo
Utakuwa umefanya jambo mbolea sana tena ileile "Organic ferlizer"Mimi sina Ttcl ngoja nimpigie mdau wangu nije kutoa full muongozo mpk settings zake.
[emoji1787][emoji1787] na watatukoma we waache watucheleweshe kuingia kwenye systemSasa mkuu kama hao wenyewe makada na wanaojiita wazalendo bado wanaiba Kodi za watanzania ukipata nafasi wewe mwenzangu usiye hata na Chama ndo utashindwa kuchovya asali kidogo..?
Asikwambie mtu mkuu Serikalini watu wote wanafuata asali tu hakuna uzalendo.. kama ni uzalendo basi wajitolee kufanya kazi bila mishahara na posho ili pesa tuzitumie kujengea miundombinu ya kimaendelea
Actually Mimi sio mwizi wale mdokozi.. So hata nikiwa huko Serikalini kwenye nyadhifa fulani naamini nitakuwa mzalendo sana katika majukumu yangu.. mwenyewe nijikubali sana coz hata kwenye level zangu za kielimu nishashika nafasi mbalimbali za kiuongozi na kazi ilikuwa inafanyika patriotically[emoji1787][emoji1787] na watatukoma we waache watucheleweshe kuingia kwenye system
Umetisha mwanangMimi sina Ttcl ngoja nimpigie mdau wangu nije kutoa full muongozo mpk settings zake.
Mkuu fanya kweli tuishi nazo hizo VPN mtelezo maisha magumu bila kitonga life litazidi ngumu zaidi sensa nao wanatufanya tuishi kwa matumainiHuko telegram nilipewa code ya wadau wa Free internet na Vpn Tz kuna nimekuta kuna members zaidi ya buku mianne Kazi kuombana free Vpn na kupeana michongo ya kuperuzi kea gharama nafuu , nikasikitika sana jinsi hali ilivyokuwa ngumu nchini na watu wanavyopambania kutafuta unafuu
Mimi nina Vpn mbili za kunisaidia gugo na wasap wakati wa emergency nikiwa nimepigika ila zipo slow kukonect kwa mbinde wakati fulani sio kama zile Sky Vpn na Ec Tunnel ambazo nilikuwa napeta nazo mpk Insta na YouTube bila kukwamakwama.
Hiki tayari ni kijiwe mkuuKutoka stori za majina yatatoka wiki hii mpaka stori za bando...tuendelee na msoto tuu
Brother hivi unahisi kupelekewa moto ni rahisi ivyo?Mtakuja kuguswa tundu dogo sababu ya shida.
kuweni watulivu
Okay.Ujinga wa kubembeleza kazi kwa huruma nilishasema hapana
Nadhani ni kutoka nbs,wizara ya fedha na halmadhauri.Hao wakufunzi wamepatikana vipi????
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Tafadhali mm sijaomba nimetaka kujua tu criteria iliyotumika kuwapata hao wakufunzi, maana kama wamepelekwa kusoma ili kuwafundisha vijana watakaopewa kazi ya kuhesabu watu kwann na wao wasiombe kazi hiyo ya ukufunzi??Nadhani ni kutoka nbs,wizara ya fedha na halmadhauri.
Niliona kwenye muongozo nahisi ila am not sure.
Kazi zetu zilikuwa tehama,maudhui na karani
Hapo kupata ilikuwa hadi connection. Unakumbuka kuna kazi walitangaza zile za kuandaa maeneo watu 300? Majina walioitwa kwenye usaili ulisikia walioitwa? Nafasi zilikuwa chache na kigezo kilikuwa elimu kuanzia form four. Kwa hiyo isingekuwa rahisi kuchambua watu wote kwa kigezo hicho.Nadhani ni kutoka nbs,wizara ya fedha na halmadhauri.
Niliona kwenye muongozo nahisi ila am not sure.
Kazi zetu zilikuwa tehama,maudhui na karani
πππ kwani kutoa ndogo ndio mkuu ?Brother hivi unahisi kupelekewa moto ni rahisi ivyo?
By the way mtendaji wangu ni pisi kali wote wawili wa mtaa na kata.
Angekua mwanaume ingekua rahisi zaidi sasa.
Don't be negative kiasi kuwaza naweza toa ndogo ndugu.
Imekuwa vigumu kukujua kumbe umebadili jina lako lenye unyama mwingi @Kwibonelwa sasa umekuja na jina jipya ambalo ni vigumu kupata watoto wakali humu.πππ kwani kutoa ndogo ndio mkuu ?
Jichunguze ukiona kitundu kidogo kuliko vyote ndio icho icho [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] it is called ndogo for reason my friend[emoji3][emoji3][emoji3] kwani kutoa ndogo ndio mkuu ?
Alaumiwe mshauri,hapo ana attract kitu kingine kabisa na sio pisi ya kwendaImekuwa vigumu kukujua kumbe umebadili jina lako lenye unyama mwingi @Kwibonelwa sasa umekuja na jina jipya ambalo ni vigumu kupata watoto wakali humu.
Ebu naomba utiririke kidogo kaka inaonekana una vitu vya kuzungumza zungumza..!Ndugu zangu, atakae bahatika kupata nafasi itamfungulia milango, sitaki kwenda deep ila niwaambie... POSHO NI MLIMA..plus kuna certificates mtapata kama recognition utaweza tumia sehem mbalimbali.. Goodluck to you guys..