Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nan katazama ITV wameongelea hii ishu inaonekana haina siku nyingi majina yanatoka..nimekuta habari ndio inaisha usiku huu
 
Tuambie wameongeleaje mana wengine hatuna TV
Anna Makinda alikuwa akiratibu mafunzo chuo cha taifa cha takwimu ambapo kuna watu wanapatiwa mafunzo ili nao wakafundishe watakaochaguliwa sensa.
.............
Nawaza tuu[emoji848]
-Kama umesomea takwimu(statistics) chuo cha takwimu kanunue buti au raba.
-Wanaofundishwa ili wakafundishe makarani na wasimamizi, nao pia wameomba ukarani na usimamizi [emoji23]
 
Ngazi ya kata wataletewa majina 100 kutoka NBS kwa lengo la kufanya usahili ili wabaki 50.....Huu ni mfano wa itakavyokuwa na hizo fomu zilizobaki pale ofisini kwao hazina maana

Ndio maana majina yakitoka utayakuta kwenye tovuti yao na kwenye ofisi ya kata ulioomba kufanya hiyo kazi na watakupa tarehe ya kwenda kufanyiwa usahili katika kata/wilaya husika
Mimi ni mwanafunzi niko mbeya namaliza chuo mwezi wa 7 tarehe 6 nimeomba ukarani mtwara .Swali langu kutokana na maelezo yako, lazima usahili nifanye sehemu niloomba ?? Na kama ndio naweza fanya usahili huku niliko??
 
Mimi ni mwanafunzi niko mbeya namaliza chuo mwezi wa 7 tarehe 6 nimeomba ukarani mtwara .Swali langu kutokana na maelezo yako, lazima usahili nifanye sehemu niloomba ?? Na kama ndio naweza fanya usahili huku niliko??
Usahili na Mafunzo yanafanyika kwenye wilaya na kata ulio omba kufanya hiyo kazi
 
Tupo kwenye kikao muda huu ndugu zangu
IMG-20220604-WA0012.jpg
 
Back
Top Bottom