Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Hapa ndo umenithihirishia watendaji lazima waweke misukule yao kumamake hii nchi ipo siku nitaikimbia mazima nikafie tu mbele
Ukitaka kwenda ulaya unafata tu process mzee,ila pia ni kujikita kwenye jambo lako moja hakika utafanikiwa kwa neema ya mwenyezi Mungu.
Hata ulaya kuna matatizo ya ulaya ulaya ndugu
 
Upo sahihi sana, lakini kutembea mtaani kila nyumba sio kazi ndogo kama usemacho wewe hapo pia kukaa siku 21 pengine itatupunguzia ukali wa maisha vijana majobless usiseme kufuja pesa utakua unakosea hizo pesa wasipotupa sisi watakula tu wengine mpango miaka 10 kuna sponsors wameweka pesa unahisi wakisema wasitugee sisi vijana itaenda wapi?
Kama umeomba hii tutaona kulikua na umuhimu au la wa siku 21 za semina,napokua nilisikia kwa mbaaaaali zimekua siku 15.
Cha muhimu ni kuwa na subira tu
 
Mama makinda kaamua awatoe vijana kimaso maso zoezi lenyewe ni miaka kumi kwa miaka kumi ilo linawezakan semina ikawa ivo ili watu wale kwa urefu wa kamba ila kiuhalisia wiki ingetosha kabisa ,
hukuo ktk semina unaweza fundishwa jinsi ya kuwasha kishkwambi kukichaji iyo topic ya siku nzima watu wanavuta chao, kesho tena jinsi ya kuvaa kisensa sensa siku inakata, kesho tena jinsi ya kusoma google earth na mipaka iyo topic siku nne hahaa siku 21 inawezekana alooo vijana wapate mitaji na ela ya kumwagilia moyo
Wewe jamaa mbona upo against na semina siku 21?
Huu ni mfumo mpya tunaanza tumia plus semina sio mafunzo naona una changanya hapo mzee,hao wakufunzi wamekaa two weeks kwenye semina wewe unahisi sisi siku 21 haiwezekani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa mamlaka waliyopewa Nbs kutengeneza recruitment portal watu wakaomba nafasi kilichofuata ni nbs kukabidhi uandaaji wa majina kwa Kamati ya wilaya.. Sasa nini kikechelewesha majina kutoka?! Mpaka sasa kamati ime delay kutoa majina na wameandikiwa barua jana,

Plus kuna hili litawashtua wengi, kuna possibility kubwa ya vijana wengi kuliwa vichwa, why?! Ni kwamba kati ya watu wamepewa kipaumbele baadhi yao ni walishiriki sensa iliyopita na walio shiriki zoezi la postcode... Although haimaanishi watu watakosa no ila vichwa vitaliwa vingi..

Wamepewa wiki moja kukamilisha majina..

Naomba, yaishia hapa haya..
 
Kwa mamlaka waliyopewa Nbs kutengeneza recruitment portal watu wakaomba nafasi kilichofuata ni nbs kukabidhi uandaaji wa majina kwa Kamati ya wilaya.. Sasa nini kikechelewesha majina kutoka?! Mpaka sasa kamati ime delay kutoa majina na wameandikiwa barua jana,

Plus kuna hili litawashtua wengi, kuna possibility kubwa ya vijana wengi kuliwa vichwa, why?! Ni kwamba kati ya watu wamepewa kipaumbele baadhi yao ni walishiriki sensa iliyopita na walio shiriki zoezi la postcode... Although haimaanishi watu watakosa no ila vichwa vitaliwa vingi..

Wamepewa wiki moja kukamilisha majina..

Naomba, yaishia hapa haya..
Tutaaminije????yani Kuna kipi umeweka kama ushahidi tujue hii sio kahawa
 
Kwa mamlaka waliyopewa Nbs kutengeneza recruitment portal watu wakaomba nafasi kilichofuata ni nbs kukabidhi uandaaji wa majina kwa Kamati ya wilaya.. Sasa nini kikechelewesha majina kutoka?! Mpaka sasa kamati ime delay kutoa majina na wameandikiwa barua jana,

Plus kuna hili litawashtua wengi, kuna possibility kubwa ya vijana wengi kuliwa vichwa, why?! Ni kwamba kati ya watu wamepewa kipaumbele baadhi yao ni walishiriki sensa iliyopita na walio shiriki zoezi la postcode... Although haimaanishi watu watakosa no ila vichwa vitaliwa vingi..

Wamepewa wiki moja kukamilisha majina..

Naomba, yaishia hapa haya..
Je kutakuwa na usaili kweli? Au waliochaguliwa wataenda moja kwa moja kwenye semina?
 
Wewe jamaa mbona upo against na semina siku 21?
Huu ni mfumo mpya tunaanza tumia plus semina sio mafunzo naona una changanya hapo mzee,hao wakufunzi wamekaa two weeks kwenye semina wewe unahisi sisi siku 21 haiwezekani?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aache uzwazwa huyo anataka apunguze pesa zetu

Siku zikiwa nyingi more money more mpunga [emoji3][emoji3]
 
Kwa mamlaka waliyopewa Nbs kutengeneza recruitment portal watu wakaomba nafasi kilichofuata ni nbs kukabidhi uandaaji wa majina kwa Kamati ya wilaya.. Sasa nini kikechelewesha majina kutoka?! Mpaka sasa kamati ime delay kutoa majina na wameandikiwa barua jana,

Plus kuna hili litawashtua wengi, kuna possibility kubwa ya vijana wengi kuliwa vichwa, why?! Ni kwamba kati ya watu wamepewa kipaumbele baadhi yao ni walishiriki sensa iliyopita na walio shiriki zoezi la postcode... Although haimaanishi watu watakosa no ila vichwa vitaliwa vingi..

Wamepewa wiki moja kukamilisha majina..

Naomba, yaishia hapa haya..
Hapa mwanetu kunguru ana asilimia kubwa ya kutoboa ..
 
Kwa mamlaka waliyopewa Nbs kutengeneza recruitment portal watu wakaomba nafasi kilichofuata ni nbs kukabidhi uandaaji wa majina kwa Kamati ya wilaya.. Sasa nini kikechelewesha majina kutoka?! Mpaka sasa kamati ime delay kutoa majina na wameandikiwa barua jana,

Plus kuna hili litawashtua wengi, kuna possibility kubwa ya vijana wengi kuliwa vichwa, why?! Ni kwamba kati ya watu wamepewa kipaumbele baadhi yao ni walishiriki sensa iliyopita na walio shiriki zoezi la postcode... Although haimaanishi watu watakosa no ila vichwa vitaliwa vingi..

Wamepewa wiki moja kukamilisha majina..

Naomba, yaishia hapa haya..
Kwahyo unataka kusema ilo li portal ulilotengeneza halichagui majina na hata usipochaguliwa kuna uwezekano ukawepo .... kwa maana kamati ya wilaya ndio inachugua majina ?
 
Back
Top Bottom