Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

Kama nimemuelewa vizuri simba chawene, anasema hao waliohitimu mafunzo ya kitaifa wataenda kuwapa semina ngazi ya mkoa, baada ya hapo ndio yaje mafunzo ngazi ya chini.
Kama nimemuelewa vizuri simba chawene, anasema hao waliohitimu mafunzo ya kitaifa wataenda kuwapa semina ngazi ya mkoa, baada ya hapo ndio yaje mafunzo ngazi ya chini. Kwahiyo muendelee kusubiri
Ndo kitakuwa kipindi cha mchakato wa usaili hicho ngazi ya chini
 
Asante mkuu kwa kunielewa usalama wa taifa wametanda kila mahali na hasa ukizingatia unyeti wa jambo hili la kitaifa...ngoja nikupe stori moja Mimi ilinitokea..Mimi NI mtumishi wa umma taasisi flan ya Kanda flan ikiwa chini ya wizara flan Sasa Kuna siku bhana moja ya wakala zetu wakatupa kazi tuwafanyie lengo pasu kwa pasu nadhani unaelewa mambo ya kufunga mwaka wa fedha,kosa nililofanya NI kumwambia TU rafiki yangu juu ya pesa ambayo ningeipata it was around 3 M.. huwezi amini rafiki yangu alilewa siku iliyofuata Mimi kwenda bar kumfuata ile kuniona TU kaanza kuropoka oya ndege week ijayo unapiga hela blah blah za kilevi unajua...kumbe usalama umetanda Sana huwezi amini jumatatu yake tulipata shida balaa Mara takukuru waje watukague mpk dakika ya mwisho kazi ikaingia nongwa na wakanionya Sana juu ya kutoa Siri za ofisi just imagine rafiki yangu kuropoka Tena sio bar kubwa NI kwenye ka grocery TU ndo maana nakwambia usichukulie poa kutoa Siri Kama hizi...nasema yote haya kwa kuwa umeweka picha yako katika avatar hivyo NI rahisi Sana wazee wa kitengo kupitia pitia Uzi huu na ukapata shida.
Tuonane Royal jioni nikupe bia ndugu ndege JOHN
 
"Serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania ilikamilisha taratibu za kupokea maombi ya muda za makarani na wasimamizi wa sensa ya watu na makazi kupitia mfumo wa maombi wa kielectroniki tarehe 19 Mei 2022.

Mchakato huu uko katika hatua mbali mbali za utekelezaji ambapo utakapokamilika, Wakufunzi hawa wa sensa ya watu na makazi wa ngazi ya taifa yaani hawa wanaohitimu leo watakwenda kuwafundisha wale kwenye ngazi za mikoa na wale wa ngazi za mikoa na wenyewe wataenda kuwafundisha wa chini yao"

Hayo yamesemwa leo kwenye Hafla ya kufunga mafunzo ya wakufunzi wa Sensa Ngazi ya Taifa na Mh. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)
-5904776525679541375_121.jpg
 
Hawa makarani wenyewe majina yao watayakuta ofisi za kata husika. Huwezi kuona jina ktk wavuti ya NBS wakati hujafanyiwa usaili katani. Vijana tulizeni munkali, afu seminar ya makatani itaanza July 27. Muda huu njooni ukute tunavua ziwani
 
Hawa makarani wenyewe majina yao watayakuta ofisi za kata husika. Huwezi kuona jina ktk wavuti ya NBS wakati hujafanyiwa usaili katani. Vijana tulizeni munkali, afu seminar ya makatani itaanza July 27. Muda huu njooni ukute tunavua ziwani
Wewe ndio utulize munkari na uandike vizuri kwani post yako inamakosa kibao ya kiuandishi mfano; Makatani=Makarani ,seminar=semina ,afu=halafu
 
"Serikali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania ilikamilisha taratibu za kupokea maombi ya muda za makarani na wasimamizi wa sensa ya watu na makazi kupitia mfumo wa maombi wa kielectroniki tarehe 19 Mei 2022.

Mchakato huu uko katika hatua mbali mbali za utekelezaji ambapo utakapokamilika, Wakufunzi hawa wa sensa ya watu na makazi wa ngazi ya taifa yaani hawa wanaohitimu leo watakwenda kuwafundisha wale kwenye ngazi za mikoa na wale wa ngazi za mikoa na wenyewe wataenda kuwafundisha wa chini yao"

Hayo yamesemwa leo kwenye Hafla ya kufunga mafunzo ya wakufunzi wa Sensa Ngazi ya Taifa na Mh. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu)View attachment 2278219
Hii issue tunaweza kujipa moyo tukashangaa inaisha kimya kimya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawa makarani wenyewe majina yao watayakuta ofisi za kata husika. Huwezi kuona jina ktk wavuti ya NBS wakati hujafanyiwa usaili katani. Vijana tulizeni munkali, afu seminar ya makatani itaanza July 27. Muda huu njooni ukute tunavua ziwani
Hii ramli kama kweli vile
 
Back
Top Bottom