Lexus SUV
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,493
- 5,591
Basi kwa scenario hii ulio ielezea chief wewe ni yule jamaa mwenye kitambi aliekuwa anatuelezea , dahUnapewa kadi yenye namba, unapanga foleni kulingana na mtiririko wa namba yako yakwenye kikaratasi, kipindi wanapoanza kugawa namba ukiambiwa msisogee mlangoni msisogee kweli maana mkiwa wasumbufu wanaweza kupewa wa nyuma kabisa nyie wa mwanzo mkaachwa, walimu na uvccm wanapewa kipaumbele