Jesuitdon
JF-Expert Member
- Dec 18, 2018
- 3,153
- 2,673
Unajibu wazi hujuiTanga leo watu wameulizwa maswali ya kimtego kama utaje vyeo vya polisi watu wametoa macho tu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajibu wazi hujuiTanga leo watu wameulizwa maswali ya kimtego kama utaje vyeo vya polisi watu wametoa macho tu..
Polisi so wawazi na utapeli lazima uwepo wanafuchann majina si wa uploadVijana kuweni makini,hakuna mtu atayepigiwa simu kuitwa kwenye usaili..ni utapeli..View attachment 1930741
DSM watu wameitwa wakapigishwa funga fungua nyuma geuka, kisha wakaambiwa waondoke usaili watapigiwa simu tenaPolisi so wawazi na utapeli lazima uwepo wanafuchann majina si wa upload
View attachment 1930924
Kama kwenye tangazo fm 4 wanasema awe wa mwaka 2017
Majina yaliyochaguliwa baada ya mchujo ndo haya Kuna wa 2010 these is Bull Shit WADAU
Angalia vizur mkuu.... Haya ni ya mwaka huuHaya sio ya mwaka huu [emoji706][emoji706]
Yaani sijaona mwenye 2 hapoView attachment 1930924
Kama kwenye tangazo fm 4 wanasema awe wa mwaka 2017
Majina yaliyochaguliwa baada ya mchujo ndo haya Kuna wa 2010 these is Bull Shit WADAU
Angalia vizur mbona yupo hapoYaani sijaona mwenye 2 hapo
Basi wachache sanaAngalia vizur mbona yupo hapo
Lazima uwe umepita mbogamboga,kama hujapita kupenya chama la wana uwe na mbanga(baba kanituma)..kiezo cha jakata kweli hakitotumika...? maana dah watu wanahangaika sana mtaani nikiwemo mimi...
Ni mtego.Vijana wa mbogamboga wamekariri vyeo vya TPDF tu kwasana sasa hapa lazima usande hata ukiambiwa kirefu cha SACP hutoboi..Hilo swali sio la kimtego bali linahitaji uwe na ufahamu kuhusu vyeo vya kipolisi na kwa mtu ambaye hajawahi kuwa askari polisi kumuuliza swali la namna hiyo ni kumuonea tu
Ishu ni connection baba..hata form IV ya 2008 utaikuta..View attachment 1930924
Kama kwenye tangazo fm 4 wanasema awe wa mwaka 2017
Majina yaliyochaguliwa baada ya mchujo ndo haya Kuna wa 2010 these is Bull Shit WADAU
Umejuaje mkuu ww ni afandeTanga leo watu wameulizwa maswali ya kimtego kama utaje vyeo vya polisi watu wametoa macho tu..
View attachment 1930924
Kama kwenye tangazo fm 4 wanasema awe wa mwaka 2017
Majina yaliyochaguliwa baada ya mchujo ndo haya Kuna wa 2010 these is Bull Shit WADAU
chama la wana wanatoa lini kamanda.....?
Ni ya mwaka huu?View attachment 1930924
Kama kwenye tangazo fm 4 wanasema awe wa mwaka 2017
Majina yaliyochaguliwa baada ya mchujo ndo haya Kuna wa 2010 these is Bull Shit WADAU
ndio mwaka huuNi ya mwaka huu?
Hatar mbona wameenda kinyume na takwandio mwaka huu
kivipi kwani takwa lilikuwa linatakaje hapo mwanzo....?Hatar mbona wameenda kinyume na takwa
Mwaka wa kumaliza shulekivipi kwani takwa lilikuwa linatakaje hapo mwanzo....?