Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Ni shida watoto waliomaliza 2016 November watakuwa hawajatendewa haki pia wapo WALIO omba kujiunga na JKT lakini hawakuwewa nafasi hiki kigezo kinawapora haki Yao kwani kukosa sofa ya JKT siyo takwa Lao.
Haki haitafsiriwi hivyo..
Vigezo na Masharti huzingatiwa pale ajira inapotangazwa sasa kigezo kimoja wapo uwe umepitia JKT wewe unalalamika umebaniwa nafasi huoni ule usemi wa vigezo na masharti kuzingatiwa wewe hujauzingatia?
 
Vijana kuweni makini,hakuna mtu atayepigiwa simu kuitwa kwenye usaili..ni utapeli..
20210909_173815.jpg
 
Haki haitafsiriwi hivyo..
Vigezo na Masharti huzingatiwa pale ajira inapotangazwa sasa kigezo kimoja wapo uwe umepitia JKT wewe unalalamika umebaniwa nafasi huoni ule usemi wa vigezo na masharti kuzingatiwa wewe hujauzingatia?
Naskia waliosoma masomo ya art hawatakiwi kabsa. n kwel mkuu?
 
Naskia waliosoma masomo ya art hawatakiwi kabsa. n kwel mkuu?

MwanzA leo wamepiga usaili wa awali yan kama una division 1$2 kwa form six mlikua mnatemwa....na form four vilee vilee yaan wanafata kama maelekezo yalivo kwenye tangazo kwahio kama umesoma combination tofauti na zile pia unatemwa
 
Lile huwa ni komba komba acha mambo ya ndani wapite wachukue watoto wao alafu chama la wana linakuja mwishoni,ni lini? sijui ila najua ni mwaka huu kabla haujaisha..
kiezo cha jakata kweli hakitotumika...? maana dah watu wanahangaika sana mtaani nikiwemo mimi...
 
Nmeona umeanzisha uzi wameufuta[emoji44][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] eti dau laki moja[emoji23][emoji23]
Upo nilitengeneza mwingine sema Kuna huu wA jamaa


Wadau fursa hii

 
Tanga leo watu wameulizwa maswali ya kimtego kama utaje vyeo vya polisi watu wametoa macho tu..
Hilo swali sio la kimtego bali linahitaji uwe na ufahamu kuhusu vyeo vya kipolisi na kwa mtu ambaye hajawahi kuwa askari polisi kumuuliza swali la namna hiyo ni kumuonea tu
 
Back
Top Bottom