Bia Ya Moto
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,227
- 2,816
Tanga leo watu wameulizwa maswali ya kimtego kama utaje vyeo vya polisi watu wametoa macho tu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haki haitafsiriwi hivyo..Ni shida watoto waliomaliza 2016 November watakuwa hawajatendewa haki pia wapo WALIO omba kujiunga na JKT lakini hawakuwewa nafasi hiki kigezo kinawapora haki Yao kwani kukosa sofa ya JKT siyo takwa Lao.
Tanga leo watu wameulizwa maswali ya kimtego kama utaje vyeo vya polisi watu wametoa macho tu..
Vijana kuweni makini,hakuna mtu atayepigiwa simu kuitwa kwenye usaili..ni utapeli..View attachment 1930741
Naskia waliosoma masomo ya art hawatakiwi kabsa. n kwel mkuu?Haki haitafsiriwi hivyo..
Vigezo na Masharti huzingatiwa pale ajira inapotangazwa sasa kigezo kimoja wapo uwe umepitia JKT wewe unalalamika umebaniwa nafasi huoni ule usemi wa vigezo na masharti kuzingatiwa wewe hujauzingatia?
Wamesema waliosoma sayansi watapewa kipaumbele,ukweli waliosoma sayansi ndiyo wanatakiwa wengine subirieni chama la wana likitoa nafasi..Naskia waliosoma masomo ya art hawatakiwi kabsa. n kwel mkuu?
Naskia waliosoma masomo ya art hawatakiwi kabsa. n kwel mkuu?
swali la kujiuliza kuwa huyo tapeli amejuaje kuwa nimeomba nafasi za polisi....?Vijana kuweni makini,hakuna mtu atayepigiwa simu kuitwa kwenye usaili..ni utapeli..View attachment 1930741
chama la wana wanatoa lini kamanda.....?Wamesema waliosoma sayansi watapewa kipaumbele,ukweli waliosoma sayansi ndiyo wanatakiwa wengine subirieni chama la wana likitoa nafasi..
Kwa tatizo la ajira lilivyo,mtu akikaa akajitungia namba za simu 50 tu akazitumia sms lazima atapata watu hata wa 5..swali la kujiuliza kuwa huyo tapeli amejuaje kuwa nimeomba nafasi za polisi....?
umejaribu ila sidhani...vipi lakini chama la wana lini tetesi zinasema wanaweza kutoa...?Kwa tatizo la ajira lilivyo,mtu akikaa akajitungia namba za simu 50 tu akazitumia sms lazima atapata watu hata wa 5..
Lile huwa ni komba komba acha mambo ya ndani wapite wachukue watoto wao alafu chama la wana linakuja mwishoni,ni lini? sijui ila najua ni mwaka huu kabla haujaisha..chama la wana wanatoa lini kamanda.....?
kiezo cha jakata kweli hakitotumika...? maana dah watu wanahangaika sana mtaani nikiwemo mimi...Lile huwa ni komba komba acha mambo ya ndani wapite wachukue watoto wao alafu chama la wana linakuja mwishoni,ni lini? sijui ila najua ni mwaka huu kabla haujaisha..
Upo nilitengeneza mwingine sema Kuna huu wA jamaaNmeona umeanzisha uzi wameufuta[emoji44][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] eti dau laki moja[emoji23][emoji23]
Wadau fursa hiiMkuu hayo majina hayapo online wamebandika makao makuu polisi Dodoma
UNAROHO MBAYA MAJINA UNAYO ILA UNABABAISHAHahaha Hali ngumu aisee naona wamechukua pcb na pcm failure
KipiKuna video mpya imetoka muda si mrefu, kitengo cha habari polisi kinasema bado majina hayajatoka na yakitoka mtajulishwa
Hilo swali sio la kimtego bali linahitaji uwe na ufahamu kuhusu vyeo vya kipolisi na kwa mtu ambaye hajawahi kuwa askari polisi kumuuliza swali la namna hiyo ni kumuonea tuTanga leo watu wameulizwa maswali ya kimtego kama utaje vyeo vya polisi watu wametoa macho tu..
Majina yanatoka kishamba Ili watu wawe wachache wapitishe waoVipi nyomi ya tanga kwenye usaili ipoje..