Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Jeshi gani linatumika kiseng.seng na wanasiasa jeshi ni jwtz peke yake.
Unaliwa kinyeo.Acha madogo wapate watakacho.Hakuna kazi iliyobora kikubwa tunafanya hizi kazi ili kutoboa maisha.
 
Hongera mzee, jiandae kwa interview. Ila majina bdo hayajatoka cha muhimu uwe una tembelea tovuti ya jeshi la polisi mara kwa mara.. Google (polisi ajira) utakuta taarifa zote humo
Mzee ajira zetu USAILI imetoka GAZETI LA JANA LA HABARI LEO TAR 8/9/2021 NIMELITAFUTA KAMA DHAHABU SIJALIPATA
 
Mzee ajira zetu USAILI imetoka GAZETI LA JANA LA HABARI LEO TAR 8/9/2021 NIMELITAFUTA KAMA DHAHABU SIJALIPATA
Nmeona umeanzisha uzi wameufuta[emoji44][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] eti dau laki moja[emoji23][emoji23]
 
Vijana tulieni kwa wale wenye elimu ya kuanzia Astashahada,Stashahada,Shahada waendelee kusubiria majina yatatolewa kupitia tovuti ya polisi.go.tz

Wale wa kidato cha nne na sita majina yao watayakuta kwenye mbao za matangazo katika ofisi za RPC,RC katika mikoa waliyoombea nafasi..

Tanga leo usaili unafanyika ofisi za RPC.
 
Vijana tulieni kwa wale wenye elimu ya kuanzia Astashahada,Stashahada,Shahada waendelee kusubiria majina yatatolewa kupitia tovuti ya polisi.go.tz

Wale wa kidato cha nne na sita majina yao watayakuta kwenye mbao za matangazo katika ofisi za RPC,RC katika mikoa waliyoombea nafasi..

Tanga leo usaili unafanyika ofisi za RPC.

Vipi nyomi ya tanga kwenye usaili ipoje..
 
Back
Top Bottom