Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Polisi kuna urasimu sana hujuma hili sio jeshi kabisa ona vijana wanalipishwa pesa ya nauli, bima ya afya,vipimo na kujikimu sasa hili jeshi gani jeshi au ni uzandifu tu??

Ivi huyu IGP alioni ili au na yy ndo wale wale tuu???dah inatia huruma sana vijana mnavyolalamika ndoma nasemaga kilw siku TANZANIA jeshi moja tu JW awo wengine wote raia wakakakamavu wasio na uzalendo stupid shame on you PT.....

MNATIA SANA AIBU POLISI TANZANIA....
 
et watu wanasubr 1000, hahaha hamkumb enz za jpm, zltoka ajira 8000 wakasema bado 5000 watatoa ila haikufahamika walilipot lini mbka leo, kwahyo kama umekosa apo bas imeisha hyo mwendo umeumaliza
 
Wewe siyo Askari acha porojo.
 
[emoji38][emoji38]hata uwe na kipaji cha kunya goroli hutoboi.
[emoji95][emoji95][emoji95][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu acha chuki na utumie japo akili kidogo tu,nilishakuonya toka comment zako za nyuma na naludia tena.Jeshi la polisi sio la IGP ni la amili jeshi mkuu wa majeshi yote ya Tanzania muheshimiwa raisi Samia suluhu hivyo huyo ndio wakumlaumu wala sio siro yaani hakuna kitu siro atafanya bila kumshilikisha mama na pia mama ndio kazitoa izi ajira wala sio siro dah acha upuuzi wewe kijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…