Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Polisi so wawazi na utapeli lazima uwepo wanafuchann majina si wa upload
DSM watu wameitwa wakapigishwa funga fungua nyuma geuka, kisha wakaambiwa waondoke usaili watapigiwa simu tena
 





Kama kwenye tangazo fm 4 wanasema awe wa mwaka 2017





Majina yaliyochaguliwa baada ya mchujo ndo haya Kuna wa 2010 these is Bull Shit WADAU
 
Hilo swali sio la kimtego bali linahitaji uwe na ufahamu kuhusu vyeo vya kipolisi na kwa mtu ambaye hajawahi kuwa askari polisi kumuuliza swali la namna hiyo ni kumuonea tu
Ni mtego.Vijana wa mbogamboga wamekariri vyeo vya TPDF tu kwasana sasa hapa lazima usande hata ukiambiwa kirefu cha SACP hutoboi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…