Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yah masters yake huwa ni development and designHaipo masters ndo ipo
Wanataka degree of education (carriculum development )na Degree ya phsical Education
Wenye degree zingine za education mfano BAEd inakuaje hapo wakuu tujilipue au..?...
Cc😡Mdudubitehunt
Mtu yeyote mwenye bachelor ya education anaomba sababu curriculum development kasoma as course
Lazima isumbue wanaoingia sio wewe tu ni watu wengi so system zao lazima zisumbueWebsite yao inasumbua Sana mbna
Mkuu unajua walau vigezo vyao vya umri kwa kidato cha nne hadi sitaLazima isumbue wanaoingia sio wewe tu ni watu wengi so system zao lazima zisumbue
18-25Mkuu unajua walau vigezo vyao vya umri kwa kidato cha nne hadi sita
Sijaona sehemu wamesema kidato cha sita ni cha nne , na kuendelea cha sita wameruka usijichanganye18-25
Sio kwamba wamekijimuisha humo maana cha Sita lazima umepitia cha nneSijaona sehemu wamesema kidato cha sita ni cha nne , na kuendelea cha sita wameruka usijichanganye
Unaweza ukawa form six ila form 4 umemaliza 2015Sio kwamba wamekijimuisha humo maana cha Sita lazima umepitia cha nne
Kwenye taaluma hawakuwepo kwani?Famasi ndo wamepigwa chini
Unaweza ukawa form six ila form 4 umemaliza 2015
Hapo uoni kutakuwa na mkanganyiko
Hata hivyo haya maombi hayaeleweki wanasema form 4 mwisho 2016 ila kuna wale form 4 wenye miaka 25 na 24
Na hawajamaliza 2016 sijui inakuwaje
Hapo panachanganya
Nawataman sana hawa...labda mwakaniHivi na jwtz wanaweza kuja na mkeka wao, au ndo probability tena
Nafasi zao huwa sio exposed kama za polisiNawataman sana hawa...labda mwakani
Hamna naona kwenye bachelor wameweka M.D, dental doctor, cjui na nurse kwenye diploma clinical medicine, ass. Nurse, ass physiotherapist n wengineo famasiKwenye taaluma hawakuwepo kwani?