tztz
JF-Expert Member
- Jun 30, 2021
- 274
- 253
Kwan nlichoeleza n kipi tofauti, Namjua mtu nliempokea wakati ndo anatoka dempo m ndo nkiwa nafanya kazi sekta binafsi, Alitoka depo 2020 tukaishi wote of course alikuwa polisi wakawaida na Lindo alikuwa anaenda kama kawaida pamoja na kuwa na degree yake ya Sheria, lakin hakuchelewa mwaka huu kamaliza kupiga nyota moja, and wakati anaajiliwa Salary yake alilipwa kwa degree yakeHakuna kitu kama hicho kwenye vyeo atapanda kama polisi wa kawaida jina litatoka au litachaguliwa kama polisi wa kawaida ikifikia kipindi cha kwenda kusoma kuongeza cheo
Tofauti ni mshahara hapo tu