Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Hakuna kitu kama hicho kwenye vyeo atapanda kama polisi wa kawaida jina litatoka au litachaguliwa kama polisi wa kawaida ikifikia kipindi cha kwenda kusoma kuongeza cheo

Tofauti ni mshahara hapo tu
Kwan nlichoeleza n kipi tofauti, Namjua mtu nliempokea wakati ndo anatoka dempo m ndo nkiwa nafanya kazi sekta binafsi, Alitoka depo 2020 tukaishi wote of course alikuwa polisi wakawaida na Lindo alikuwa anaenda kama kawaida pamoja na kuwa na degree yake ya Sheria, lakin hakuchelewa mwaka huu kamaliza kupiga nyota moja, and wakati anaajiliwa Salary yake alilipwa kwa degree yake
 
Kwan nlichoeleza n kipi tofauti, Namjua mtu nliempokea wakati ndo anatoka dempo m ndo nkiwa nafanya kazi sekta binafsi, Alitoka depo 2020 tukaishi wote of course alikuwa polisi wakawaida na Lindo alikuwa anaenda kama kawaida pamoja na kuwa na degree yake ya Sheria, lakin hakuchelewa mwaka huu kamaliza kupiga nyota moja, and wakati anaajiliwa Salary yake alilipwa kwa degree yake
Utofauti ulioeleza upo

Cha kwanza umeweka time limitations " atakaa at least miaka 3 " kwenye post. yako vyeo haviendi hivyo anaweza akaa hata miaka mitano au hata yule form 4 anaweza kwenda kuongeza cheo akakuacha factors ni nyingi tu hakuna anayejua cheo anaongezeka lini ila cheo lazima atapata tu kwa elimu yake


Cha pili uliposema anaenda nyota umesahau hapo nyuma kuna vyeo kama constable ,kopro ,na sergeant hivyo lazima apitie vyote havirukwi hivyo hata kama una degree sasa ndio hivyo ukiwa na bahati utapanda haraka haraka ukiwa na gundu ndio hivyo utachelewa

Ila mshahara wako ni tofauti kutokana na elimu hiyo ndiyo advantage kubwa mfano ukiwa na masters mshahara una range unafanana na ssp hata kama we ni seargent au inspector [emoji1787]
 
Utofauti ulioeleza upo

Cha kwanza umeweka time limitations " atakaa at least miaka 3 " kwenye post. yako vyeo haviendi hivyo anaweza akaa hata miaka mitano au hata yule form 4 anaweza kwenda kuongeza cheo akakuacha factors ni nyingi tu hakuna anayejua cheo anaongezeka lini ila cheo lazima atapata tu kwa elimu yake


Cha pili uliposema anaenda nyota umesahau hapo nyuma kuna vyeo kama constable ,kopro ,na sergeant hivyo lazima apitie vyote havirukwi hivyo hata kama una degree sasa ndio hivyo ukiwa na bahati utapanda haraka haraka ukiwa na gundu ndio hivyo utachelewa

Ila mshahara wako ni tofauti kutokana na elimu hiyo ndiyo advantage kubwa mfano ukiwa na masters mshahara una range unafanana na ssp hata kama we ni seargent au inspector [emoji1787]
Na vipi huyu ambaye hakupita ukopro wala usergeant yeye kakaa 2 years kaenda nyota tena akanambia ukiwa na degree huwezi pitia hvyo vyeo ulivyo taja hapo, ispokuwa kama ulikuwa na form six ndo utapitia hvyo vya ukopro sjui sajenti au ukawa na form four ukajiendeleza tayr ukiwa kwenye ajira ukapata degree ndo utapitia hyo ya ukopro sjui usajenti na huyu n mwajiriwa wa jeshi la polisi anae nieleza haya n vipi ananidanganya ?
 
We tuma tu mbona ni rahisi hakuna gharama hata posta huendi hata mda hupotezi


Hawajataka paspoti size
Form ya medical check-up
Barua ya utambulisho

Kama siku zote
Medical check-up hivi Kwenye Tangazo ulisoma vizuri maana hapo kwenye awe na afya njema kimwili na kiakili iliyodhibitishwa na daktari WA serikali
255683037456_status_70ebfa704e9244939fb8f86295586af8.jpg
 
Na vipi huyu ambaye hakupita ukopro wala usergeant yeye kakaa 2 years kaenda nyota tena akanambia ukiwa na degree huwezi pitia hvyo vyeo ulivyo taja hapo, ispokuwa kama ulikuwa na form six ndo utapitia hvyo vya ukopro sjui sajenti au ukawa na form four ukajiendeleza tayr ukiwa kwenye ajira ukapata degree ndo utapitia hyo ya ukopro sjui usajenti na huyu n mwajiriwa wa jeshi la polisi anae nieleza haya n vipi ananidanganya ?
Upo sahihi mkuu huwez kuwa na degree eti uwe kopro tena utakaa hiyo miaka miwili then nyota moja mi mwenyewe nimeambiwa ivo
 
Upo sahihi mkuu huwez kuwa na degree eti uwe kopro tena utakaa hiyo miaka miwili then nyota moja mi mwenyewe nimeambiwa ivo
Ndo.hvo mkuu vijana ombeni tena ukiwa na degree ata Lindo unaenda Mara moja moja sana, jamaa alikuwa anaenda Lindo.mara moja moja sana muda mwingi walikuwa wanampa.vikazi tu ofisini and salary nakumbuka alianza na miatisa na kitu hv bado alikuwa na viposho posho kibao
 
D
Utofauti ulioeleza upo

Cha kwanza umeweka time limitations " atakaa at least miaka 3 " kwenye post. yako vyeo haviendi hivyo anaweza akaa hata miaka mitano au hata yule form 4 anaweza kwenda kuongeza cheo akakuacha factors ni nyingi tu hakuna anayejua cheo anaongezeka lini ila cheo lazima atapata tu kwa elimu yake


Cha pili uliposema anaenda nyota umesahau hapo nyuma kuna vyeo kama constable ,kopro ,na sergeant hivyo lazima apitie vyote havirukwi hivyo hata kama una degree sasa ndio hivyo ukiwa na bahati utapanda haraka haraka ukiwa na gundu ndio hivyo utachelewa

Ila mshahara wako ni tofauti kutokana na elimu hiyo ndiyo advantage kubwa mfano ukiwa na masters mshahara una range unafanana na ssp hata kama we ni seargent au inspector [emoji1787]
Degree ni nadra kupitia ukoplo...huwa wanaenda moja kwa moja kufanya course ya uspecial sergeant na kuunganisha na nyota
 
Medical check-up hivi Kwenye Tangazo ulisoma vizuri maana hapo kwenye awe na afya njema kimwili na kiakili iliyodhibitishwa na daktari WA serikaliView attachment 2438318
Ila lakini kwenye viambatanisho huwa wanasemaga wenyewe barua ya utambulisho , na fomu ya daktari kama matangazo yaliyopita

Hapo kwenye viambatanisho hivyo vitu havipo


Maana kusema hivyo ulivyosema inaweza ikawa labda ni kama msisitizo au kama vigezo kama wanavyosema usiwe mhalifu au umewahi kuajiriwa serikalini maana kama kupimwa utapimwa tu
 
Utambulisho baadae itahitajika utapewa form ya Polisi ambayo utaijaza inatakiwa humo saini na mhuri WA mwenyekiti
HawaJawah kutoa form kwa ajili ya utambulisho. Labda kama kwa application za mikoani ila za makao makuu ilikuw unafuata mwenyewe kwenye makazi yao but this time naona hawajaiweka kabisa.
 
Ila lakini kwenye viambatanisho huwa wanasemaga wenyewe barua ya utambulisho , na fomu ya daktari kama matangazo yaliyopita

Hapo kwenye viambatanisho hivyo vitu havipo


Maana kusema hivyo ulivyosema inaweza ikawa labda ni kama msisitizo au kama vigezo kama wanavyosema usiwe mhalifu au umewahi kuajiriwa serikalini maana kama kupimwa utapimwa tu
Mkuu ukirudi kwenye barua pale

Kipengele ( F),Sifa za waombaji

Wanahitaji hyo fomu ya daktari.
 
Back
Top Bottom