Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Ngoja nimcheki tena jamaa wa ikulu nione kama anaweza kunifanyia makeke hizi za polisi japo anadai Mimi ni kiherehere
Sema kwel we jamaa kiherehere yaan toka achukue hela yako uyo mtu wako hamna kozi imefanyika we kila mahali ni kumkandia tu wakati bado hawajaita watu, Apo utawaharibia ata wengine walioenda kwake kumuomba japo simjui..
 
Back
Top Bottom