Hii habari imetoka lini?Bunge limefanya mabadiliko madogo ya sheria ya idara ya Uhamiaji ambapo sasa litakuwa ni jeshi kamili litakalowajibika moja kwa moja kwa Amiri Jeshi Mkuu
Waziri wa Mambo ya Ndani mh Simbachawene amesema mabadiliko hayo yanalenga kuongeza nidhamu kwa Idara ya Uhamiaji ambapo sasa litajiendesha kwa Amri.
Chanzo: ITV habari
Baba tyr ushaapply?Mimi nachoomba nipate tu mchongo huko uhamiaji... So km sijui ni jeshi, sijui taasisi, sijui polisi mimi binadsi sijali hayo mambo!!! Cha muhimu niishi tu mwisho wa mwez[emoji23]
Tupo pamoja mkuu,ndio jamaa namuuliza kwani kuna shida yoyote [emoji1787][emoji1787]Mimi nachoomba nipate tu mchongo huko uhamiaji... So km sijui ni jeshi, sijui taasisi, sijui polisi mimi binadsi sijali hayo mambo!!! Cha muhimu niishi tu mwisho wa mwez[emoji23]
Toka mwaka janaHii habari imetoka lini?
Hii habari imetoka lini?
Yaahh.. Nishatuma maombi mkuuBaba tyr ushaapply?
Ok,sas usipojiuliza ki2 kimepitishwa mwaka jana mwezi wa 7 huko na mwezi huu wametoa ajira lkn wameiita idara badala ya jeshi.hujiulizi tu kaka? Km ingekuwa kweli ishapiazimiwa hyo hapo ungeona pamendkw jeshi,uwe unaelewa bas wew chicken headToka mwaka jana
September 7
Nakuja dmYaahh.. Nishatuma maombi mkuu
Unabishana na uhalisia,mpelekee shemej yako simu yake kwanza [emoji28]Ok,sas usipojiuliza ki2 kimepitishwa mwaka jana mwezi wa 7 huko na mwezi huu wametoa ajira lkn wameiita idara badala ya jeshi.hujiulizi tu kaka? Km ingekuwa kweli ishapiazimiwa hyo hapo ungeona pamendkw jeshi,uwe unaelewa bas wew chicken head
Aaah hakufunguki,kwhyo kaka km k2 umeattach km walivyotaka? Yan muhuli wa hakimu,chet cha dokta,leaving ,A. certificates na umetuma kwa posta auYaahh.. Nishatuma maombi mkuu
Wew huelew,hata Chet hauna unataka kuomba nin sasUnabishana na uhalisia,mpelekee shemej yako simu yake kwanza [emoji28]
Jibu la kushindwa hili,Leta hoja au umeishiwa?Unabishana na uhalisia,mpelekee shemej yako simu yake kwanza [emoji28]
Ljn ndgu tuache masihara naomba nikuulize swali,umepita jkt wew?Unabishana na uhalisia,mpelekee shemej yako simu yake kwanza [emoji28]
Hii habari imetoka lini?
Kuelewa nataka sn mkuu.lkn huyu jamaa hajuw kuelewesha na hajuw kujbu maswali yangu namuelewaje hapo?inaonekana hutaki kuelewa mkuu
Inategemea na taaluma husika. Wapo ambao hawakupita ila walipata kutokana na uhitaji.Usijisumbue
Ok,sas usipojiuliza ki2 kimepitishwa mwaka jana mwezi wa 7 huko na mwezi huu wametoa ajira lkn wameiita idara badala ya jeshi.hujiulizi tu kaka? Km ingekuwa kweli ishapiazimiwa hyo hapo ungeona pamendkw jeshi,uwe unaelewa bas wew chicken head
Ww ni mgeni na mshamba wanaonijua wanajua hizi ajira za majeshi nimeanza kuomba kitambo Sana toka mwaka juzi na mwaka jana,kuna mambo mengi hujui punguza mteruWew huelew,hata Chet hauna unataka kuomba nin sas
Wewe jamaa ni kilaza sana,hvi unawezaje kuvuka barabara au unashikwaga mkonoKuelewa nataka sn mkuu.lkn huyu jamaa hajuw kuelewesha na hajuw kujbu maswali yangu namuelewaje hapo?
Jamaa anaubishani wakijuha sana huyoUbishi wa kijinga ambao hauna mantiki huu. At least argue something constructive rather than showing how empty-headed u are.