Xmonster
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 1,644
- 2,382
Allahuma amiin [emoji120]mfwende amekua akifanya kazi nzuri sana kwenye huu uzi.
Amekua akihabarisha na kutoa nondo kadhaa kuhusiana na majeshi yetu.
Kiukweli anaupiga mwingi sana.
Namuombea kwa mola muumba mbingu na nchi awe kati ya watu ambao watakao pata bogi la ajira.
mfwende nakutaribia utakua mmoja wa watu watakaoapa pale kwenye uwanja wa ushirika moshi.inshallah!!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent from my CPH2325 using JamiiForums mobile app