Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Wakubwaaa,
Hivii haya maombi ya kuwasilishaa kwa makamanda wakuu wa polisi mikoani kwenye upande wa bahashaa pale juu tunaandika anwani ya

Mkuu wa Jeshi la Polisi
Dodoma.

AU

Kamanda Mkuu wa Jeshi la Polisi
Mkoa husika.

Coz nimeshapata mteruu + mhaoo kama wote
 
tangazo linasema waombaji wote tunaelekeza sanduku la posta la dodoma pekee, hata kama upande wako maombi yako unapeleka kambi husika ya mkoa.
 
Wakuu samahann naomben kuulizia kwenye kutuma hizi barua za maombi kunaitaji barua ya mwenyekiti wa mtaa na passport.?

Kwa upande wa uhamiaji maombi yako yaambatanishe na passport size 4 pia barua ya utambulisho kutoka kwa mtendaji wa kata au mtaa.
 
ingia kwenye website ya Posta kiganjani. then kwenye ile risiti kuna barcode number zipo utaziingiza kwenye website itaonyesha details zako na muda uliotuma na muda ambao mzigo ulikua delivered dom
Na bar code ndiyo mtihani nikicheki apa nikiingiza inakataa

Sent from my CPH2325 using JamiiForums mobile app
 
ingia kwenye website ya Posta kiganjani. then kwenye ile risiti kuna barcode number zipo utaziingiza kwenye website itaonyesha details zako na muda uliotuma na muda ambao mzigo ulikua delivered dom
Hiyo apo bar code,sasa apo mwishoni Ni Tz au kaandikaje miandiko sometime inachanganya

Sent from my CPH2325 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…