MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Hadi mtaani wanasahau kama ulikuwepo [emoji3]CCP ni zaidi ya kozi [emoji28].
Miezi 9 bila kosa dah![emoji28]
Ukifanya kosa ndio hivyo tena unapigwa peresuperesu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukipata chance ya kwenda CCP sepa kimya kimya tu sio unamwambia kila mtu. Wengine wana wivu..uswahili mwingi utaletewa gundu. Washangae tu siku upo kwenye gwandaHadi mtaani wanasahau kama ulikuwepo [emoji3]
Watu wanaweza jua kua umepotezwa na wasio julikana [emoji28].Hadi mtaani wanasahau kama ulikuwepo [emoji3]
Sese nmemkuta anaroho ngumu sijaona alikuwa A coy Lakin anaweza kutoa doso ata kwa coy nyingine ni msabato ikifika ijumaa saa12 hamgusi mtu na mpaka sabato inaisha jmos saa12. Kuna kuruti wa Mungu muda tunaenda kisimani kuchota maji Sasa lile vumbi akamfata Sese eti afande me nina pumu siwezi ruka kichura Sese akamwambia kama unapumu njoo ukae mbele kabisa nataka nikuone ukifa na hyo pumu yako[emoji16]Mwaka gani mkuu??
Makuyuni kuna koplo mmoja anaroho kama shetani, anitwa Sese,
Kuna mpenda sifa anaitwa Aloyce(private)
Nilikuwa hanga la mabati pale afande anawaamsha kwa kuburuza mfuniko wa ndoo kwenye mabati.
Mtu huna kazi lakini mtubanakufata inbox anataka pesa ndefu sijui unaitoa wap asee haya maisha daaa tuwe makini sana connection ni Mungu pekeeNishawaambia humu wawe makini Sana wenye utimamu washajielewa,jana alinichekesha eti anadai kapoteza simu yule aliyemtumia docs zake amtumie tena inbox hivi ukipoteza simu hata jf nayo inaondoka?
Wewe unataka kazi ili upate pesa kwa sababu huna pesa na yeye naye anataka pesa.Mtu huna kazi lakini mtubanakufata inbox anataka pesa ndefu sijui unaitoa wap asee haya maisha daaa tuwe makini sana connection ni Mungu pekee
Op gani mkuu??Sese nmemkuta anaroho ngumu sijaona alikuwa A coy Lakin anaweza kutoa doso ata kwa coy nyingine ni msabato ikifika ijumaa saa12 hamgusi mtu na mpaka sabato inaisha jmos saa12. Kuna kuruti wa Mungu muda tunaenda kisimani kuchota maji Sasa lile vumbi akamfata Sese eti afande me nina pumu siwezi ruka kichura Sese akamwambia kama unapumu njoo ukae mbele kabisa nataka nikuone ukifa na hyo pumu yako[emoji16]
Aloyce mshenzi tulikuwa nae D coy alitutesa sana kuna aliwahi hadi zidisha scale la tifu ikabidi maafsa wamuite kwenye baraza wampe somo la scale yetu ya kozi tulipata nafuu alifiwa na mama yake(pole kwake) alienda Musoma ndo kidogo tukapumua.
Me nilikuwa anga la vioo chini kabisa ukitoka anga la mabati.
[emoji16][emoji16]huyu ni Mimi kabisa true story[emoji1]
Hahahahahaaa watakudaka tu825kj OP Magufuli... Nilidoji intro , Passing Square na Siku ya kuapa...Nilikimbia Guard no.1 siku ya kwanza tu kabla hawajanikariri...safari ilikua ngumu lakini nilitoboa
Sifa ukiwa doja usiwe na tamaa ya msosi.
Mfarakano wa kurutaa[emoji1787][emoji1787]Op gani mkuu??
Nimeshawahi katwa kibangala nikaingia kwenye 18 za Sese, kuruta tulifarakana hatari.
Pole mkuu...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]huyu ni Mimi kabisa true story[emoji1]
Uzi una lonja sana huu, tutunze damu tutadumu chomboniHuu uzi unanipa mizuka sana mapot
Kabisa man..safari hii tutakutana ccp wengi sanaUzi una lonja sana huu, tutunze damu tutadumu chomboni
Sura ya YESU matendo ya shetani, akina Mbaji, soud, Yassin, Nshimba, Caessar halafu kuna yule afande KATUNZI alikua na matusi kichizi yaani domo lake halijawahi vaa chupi[emoji1787][emoji1787]Vipi nyumba za mabati za ma afande wenu ziliboreshwa ?
B coy sio ya yule mpemba alikuwa akiisimamia
Mabula na shimika bado wapo ?