Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Soud nilikuwa namchukia kwenye mabio zamu yake lazima mkimbie kufata chakula mnapanda mlima kazaula ..mnatokea kule kwenye manguruwe mpka jikoni pale
 
Yah hyo route naikumbuka sana..kina afande salehe wazee wa route ndefu
Soud nilikuwa namchukia kwenye mabio zamu yake lazima mkimbie kufata chakula mnapanda mlima kazaula ..mnatokea kule kwenye manguruwe mpka jikoni pale
 
Yah mbna kama ww ni op magufuli
 
Wote hao nawakumbuka ..kuna mwamba anaitwa afande tozi anatukana vibaya mno
Yule afande mwingine Sura ya yesu matendo ya shetan sura nzuri ila roho yake sijawah iona ngumu mno,aliendaga kozi ya ukomandoo akaumwa akarud kambini
Kwan commando koz ni ngumu sana eeh! Maan huyu askari wa pili kuskia anarudi,mmoja aliwepo mgambo afande msaizage aliend komando akarudi fasta
 
Daah!! Inauma sn,ilibid uwepo Frontline baba mwendo wa kuvunja bega tu
 
Jamaa yangu alipiga interview uhamiaji na magereza, mkeka umetoka jina lake lipo kotekote yan uhamiaji na magereza.... Jamaa akachagua magereza dah[emoji23]
Kwani majina ya watu walioitwa interview magereza na uhamiaji si yaliyotoka nyakati tofauti mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…