Bia Ya Moto
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,227
- 2,816
Jamaa kila siku jtatu hadi ijumaa ni master parade,wanakaguliwa usafi,uwe umenyosha na kung'arisha kiatu vizuri.Kule unaishi kama mzuka mda wote mimi kuruta " mimi kuruta"
Mda wowote unaogopa kujichanganya ukaaga mashindano na asikwambie mtu hivi unajua maisha ya uoga ya kuwindana kama digidigi yalivyo ? [emoji3]
Ukiumwa kidogo malaria we tayari unfit , buti hujapiga kiwi we tayari ushaharibu [emoji3]
Ndio maana wakimaliza wakichomoka ccp wanakuwa wamevurugwa morali kama zote usiombe ukutane na kisanga cha askari mpya huo utukutu wako utaisha
Uwanja wa damu si ndiyo darasa la kwata na umewekwa lami,jua likiwaka wanaiva.Hivi bado wanaendaga kule mabokweni ?
Hapo ukute una pumzi kisoda? [emoji3]
Hivi Na bado ule utaratibu wanasimama uwanja wa damu na jua lote lile upo
PT,UT,ZT ukipata kote nakushauri nenda PT.Mimi nawaambia ndugu zangu Mungu kafanya miujiza yake majina yametoka upo kote kote polisi na uhamiaji au fire na polisi [emoji3]. Halafu unasema unaenda ccp
Labda kwa mapenzi yako binafsi na mahaba yaliyo juu unapenda uende uko
Ila tukiongea ukweli nyie wenyewe mnajua nasema hivi humu ndani ikitokea imewakuta hivyo mmepata kote kote hakuna atakaye enda huko labda MrBanks [emoji3] kidogo inaonekana anakupenda
Ila xmonster anayependa mshahara wa haraka haraka utamkuta tayari kasharipoti boma
Polisi mafunzo unapewa ujuzi kabisa,wako na mambo mengi sana,kwata,darasani,silaha nk.Daah Mimi nakuogopa Sana kule
Ila mimi najiuliza mpka leo sipata jibu ina maana polisi miezi 9 hawa wengine 6
Kwa nini inakuwa hivyo
Na kwenye maslahi wakoje?
Maana wanasema wizara ya ndani mishahara inalingana
Polisi wana mapuuza tu ila mafunzo yao ni magumu sana na wako vizuri sana uwanja wa medani.Kinachofanya polisi ichukue muda mrefu ni darasani sana. Masomo mengi afu porini pia wanakaa muda mrefu kuliko hata JW. Inshort dogo ananiambia porini polisi wako vizur sana na mifumo ya kimapigano. Kule ndio kazi ipo sana.
Nawasikia kipindi cha kozi wakipita mitaa ya Moshi mjini usiku mnene wakiimba chenja dah utawaonea huruma,sijui kama wanalala kweli karibu mwaka mzima wa kozi yao.
Ndio maana nawaambia watakaoenda huko watabadili kabisa mentality waliyonayo kuhusu polisi...tena wakienda porini ndio kabisa mtaelewa kazi. Polisi sio lelemama kama mnavyoaminishwa huko kwingine.Polisi wana mapuuza tu ila mafunzo yao ni magumu sana na wako vizuri sana uwanja wa medani.
Noted: polisi siyo lele mama nawakubali Sana PolisiNdio maana nawaambia watakaoenda huko watabadili kabisa mentality waliyonayo kuhusu polisi...tena wakienda porini ndio kabisa mtaelewa kazi. Polisi sio lelemama kama mnavyoaminishwa huko kwingine.
Polisi nawakubali kinyama,siku nimechaguliwa ntalia kwa furahaPolisi wana mapuuza tu ila mafunzo yao ni magumu sana na wako vizuri sana uwanja wa medani.
tanga kwenu ndio my dream ikitokea ccp ndio kaanza nayo fresh tuuMe bogi lolote naenda uhamiaji wakija pia fresh Sana tu, polisi wakija pia fresh Sana tu
kote nakaba but utumish placement zinachelewa sana mkuuNa ajira portal msiache kulengesha mitego wapambanaji
Mwanangu alienda kozi ya komando siku ya intro akaenda kuomba kuachaChief ukomandoo sio poa....ni nouma
Jando hawaombi kuacha,wanatoroka wenyewe,wanaanza 800 wanaomaliza 250.Mwanangu alienda kozi ya komando siku ya intro akaenda kuomba kuacha