Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Walioingia zaman walifaidi sana asee. Mabega yakichafuka raha sana. Pia Zimamoto pia kuna urahisi. Watu mliogopa kuomba kule proffesionals kutokana na wao kutaka form 4 tu ila nakuambia kwenye interview wataita na proffesionals. Nakuibia lonja.

I
Me niliomba na chet cha 4 ingawa umri na mwaka wa kumaliza 4 vimenitupa
 
We jamaa kama depo ya juzi basi uwenda nakufahamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…