Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Hata mimi nimeliona kuna mda na scroll down tu Sababu unakuta mtu anaadithia maisha yake yote ya JKT
Kuna maafande wanafanya kazi nzuri kutupa experience ya CCP wengine wanachafua na JKT...

Bora tubakie kwenye lengo kuu la uzi, kila siku lazima niingie huku, sasa nakuwa disapointed kukuta story za JKT nyingii.!!!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
ccp lonja nyingi. kichaka miba lonja hamna kabisa kulikoni makamishna shusheni lonja zote ,hta za zimamoto
 
Madogo mnaokuja TPS-MOSHI njoeni kwa nidhamu na weredi mkubwa ,mtakutana na chuma hiki Cha kinyakyusa hakina mbambamba nikupepea tu moja kwa moja ukileta ujuaji na malingaling yakoView attachment 2462395
Hahaha Chief Instructor Mwenyewe, Mghasia wa ukweli, Mtaalamu wa silaha..Assistant Commissioner of Police Nsemwa 🙌🙌 hatari sana mwamba huyu ila ni mtu poa sana pia. Akikupiga pindi la weapon huyu usipoelewa nenda kakate kichwa maana utakuw hauna kitu kichwani. 😂😂🙌
 
Hahahahahahahahhahahahaa eti yanakutukana,hlf anaeitwa anakuja mbio kbsa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wale komandooo sisi ndo walitukuta na wapo pale kwa adhabu maalumu kuna mmoja big alafu mwingine sharobaro hv akitembea bega moja analiinamisha wale jamaa waligomaga kula messi hawashibi wakawa wanajipikia wenyewe
Huyo sharobaro mweupe hivi....wapo hapo sio kwa adhabu ..kuna captain mmoja kama unamkumbuka alikua black hv smart sana anapenda kutumia neno "brothers" huyo captain ndio alituambia makomandoo wapo pale kwasababu hizo kambi zipo mipakani na ilikua ya wakimbizi ..wapo pale kwasababu za kiusalama
 
Wale wana utawala sana ..kwanza pale kambini walikua hawapangiwi guard wala kazi yoyote ..ni wao tu walikua wanajitolea kuwasaidia kuruta kwata
 
Hatari na nusu ,mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…