Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

kwani intro si inakuwaga baada ya muda Fulani ,huo muda ambao tutaachiwa kabla ya intro nitakula tizi hata jkt nilifanya HV hv,yaani pumzi ilikuwa kisoda Ila baada ya mda niliadapt nikawa hatari Kama mtu wa marathon
Intro ya polisi ni siku unafika kambini. Ni kati ya siku ambazo utazikumbuka sana kama ukifanikiwa kufika.
 
Yaani kiukweli magereza hawanaga mbambamba kabisaa
Mwaka jana walinitoa mchujo wa mapema sana....ngja nitengeneze connection wilaya ambayo haina watu wengi nitimbe usahili huko huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…