Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Sawa lakini si ni ile ya kuombana kiutu uzima tu siyo ile ambayo mwanamke akikataa anaanza kufanyiwa figisu kwenye kazi yake

Sent from my S6 using JamiiForums mobile app
Mkuu hata ungekuwa ww unakiona chombo kipo hapo na umekielewa utashindwa kukiomba utelezi mkuu? Hata madaktari na manesi mahospitalin huko wanaombana..sembuse makamanda πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sawa lakini si ni ile ya kuombana kiutu uzima tu siyo ile ambayo mwanamke akikataa anaanza kufanyiwa figisu kwenye kazi yake
Hizo figisu labda awe mtu binafsi na chuki zake ndio akufanyie hivyo. Otherwise dunia ipo tofauti kabisa saiv, unaweza mfanyia figisu hizo mtu , afu takukuru wakakunyooshq au mamlaka za juu yako zikakunyoosha maana kuna madawati ya kushughulikia mambo kama hayo
 
Amekupa somo zuri sana kwenye maisha yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…