Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Wadau kwani majina ya usaili mikoani yanapitakana wapiii??
Au sisi ni kwenda hyo tarehe kwa makamanda vikosi moja kwa moja??

Yaani nachanganyikiwa
Hujawah fanya usahili mkoani ama?
Huwa wanapiga simu ..usipopigiwa nenda mkoani polisi kwenye mbao zao pale lazma utakuta maelekezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…