Wengine wanalinda Mwez mzima bank so anakunja kam lak 3 hiv na wapo ambao hawabadilishwi wao kaz yao kulinda bank tuWanasema polisi Wa LINDO kama benki anapewa 10,000/= per day so kama unasimama LINDO wiki 2 una 140,000/= out of salary na out of allowance zao.
Same na Polisi (FFU) wakienda kwenye misafara ya viongozi wanapewa Posho Yao per day.
Soma vzuri nilichoandika chiefSIO KWELI........ utofauti upo,jw wamewazid wizara ya mambo ya ndani
Tena huyo ni polisi wa GD sio ffu cjamskia kubadilishiwa kitengoWengine wanalinda Mwez mzima bank so anakunja kam lak 3 hiv na wapo ambao hawabadilishwi wao kaz yao kulinda bank tu
Home affairs hawajatofautiana salary na rationSIO KWELI........ utofauti upo,jw wamewazid wizara ya mambo ya ndani
Ahsante chief kwa kumuweka sawaJamaa amesema PT, ZT, MT na UT wapo wizara ya mambo ya ndani na amesema scale zao zilirekebishwa hapo kipindi Cha nyuma.
JW ni wizara ya Ulinzi sasa unataka jamaa angesemaje, wizara ni tofauti so scale zitakuwa tofauti. Mnabishana vitu vidogo sana ambavto hata hamjafika hatua za kufika huko.
You are speaking from experience ama..Wengine wanalinda Mwez mzima bank so anakunja kam lak 3 hiv na wapo ambao hawabadilishwi wao kaz yao kulinda bank tu
Pia sio kila bank au taasisi ukilinda wanapewa 10k..inategemeana bossWengine wanalinda Mwez mzima bank so anakunja kam lak 3 hiv na wapo ambao hawabadilishwi wao kaz yao kulinda bank tu
Cyo experience mkuu mbon wapo but analinda kwa for 2 weeks kila bank tena ktk hao ambao wameajiriwa juz tu yaan yy analinda Bank only Cjawah kumskia yupo sehem nyingine tangia aajiriwe mfan wik 2 yupo crdb but wik moj asubh wik inayofuata ni usku huyo ni GDYou are speaking from experience ama..
GD au FFU huwa wanalinda kwa rotation na kuna siku wanakua na offdays na pia kuna majukumu mengine ya kiofisi..how comes mtu alinde siku 30 zote za mwezi?
Tena huyo kila cku yupo job either anaingia asubuh au lindo la usikuYou are speaking from experience ama..
GD au FFU huwa wanalinda kwa rotation na kuna siku wanakua na offdays na pia kuna majukumu mengine ya kiofisi..how comes mtu alinde siku 30 zote za
Huwezi ingia guard kila siku chiefTena huyo kila cku yupo job either anaingia asubuh au lindo la usiku
Asiwaze mwezi wa nane wanakuja tenna JW makambini so ajipange yeye na refa wakeZikitoka kwa degree ataomba wakt mwsho miak 30
Chief mbon yy yupo ivo na hadanganyi na yupo mbagala ndo kituo chke cha kaz mm namfaham yupo bank kila cku na yy anasem bora apangiwe lindo apate pesa nje ya salary ipo ivo chief but unaweza kunieleweshaHuwezi ingia guard kila siku chief
Kwani JW hawaja chukua watu mwaka huu chiefAsiwaze mwezi wa nane wanakuja tenna JW makambini so ajipange yeye na refa wake
Ila Kwa sasa akili zetu zinawaza pdf Kwanzaa.Chief mbon yy yupo ivo na hadanganyi na yupo mbagala ndo kituo chke cha kaz mm namfaham yupo bank kila cku na yy anasem bora apangiwe lindo apate pesa nje ya salary ipo ivo chief but unaweza kunielewesha
Au mwaka huu hawakuchukua watu. Chief nielewesheAsiwaze mwezi wa nane wanakuja tenna JW makambini so ajipange yeye na refa wake
Kunguru wa manzese ndio umerudi [emoji23][emoji23]Nyie madogo mambo ya Mishahara, stahiki na mazaga zaga yote mtayajua huko huko... Nyie tulieni muingie kwanza mzigoni vitu vingi sana mtavijua kulingana na muda ukifka.
Hapa kila mmoja ataishia kusema Mwanangu anasema hv na vile ... Mshahara wa mtu na stahiki zake ni siri yake yeye na mwajiri wake...
Haina shida lakini si bado mko uraini
muda ukifika mtakua wazuri tu .
Mi Mkongwe sana kwenye Game Mdogo wetu...Kunguru wa manzese ndio umerudi [emoji23][emoji23]
Au umechukua picha ya jamaa kunguru wa manzese anayotumia
Mrgeneous yukwapi aiseeMi Mkongwe sana kwenye Game Mdogo wetu...
Tunachange I'ds na Avatar kulingana na Game..
Nimekuepo hata kitambo sana na akina
Alvin01 , Tang'ana , Allern Snr , Makanya Jr. Nanga wa kwata n.k kwenye 2015 -16 kitambo kidogo...
Leo Niko huku mitaani .
Hao Tyr washakua wenyewe Mchezoni na kubadilika sana full kuchange I'd zao ...Mrgeneous yukwapi aisee