Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Wanasema polisi Wa LINDO kama benki anapewa 10,000/= per day so kama unasimama LINDO wiki 2 una 140,000/= out of salary na out of allowance zao.

Same na Polisi (FFU) wakienda kwenye misafara ya viongozi wanapewa Posho Yao per day.
Wengine wanalinda Mwez mzima bank so anakunja kam lak 3 hiv na wapo ambao hawabadilishwi wao kaz yao kulinda bank tu
 
Wengine wanalinda Mwez mzima bank so anakunja kam lak 3 hiv na wapo ambao hawabadilishwi wao kaz yao kulinda bank tu
Tena huyo ni polisi wa GD sio ffu cjamskia kubadilishiwa kitengo
 
Ahsante chief kwa kumuweka sawa
 
Wengine wanalinda Mwez mzima bank so anakunja kam lak 3 hiv na wapo ambao hawabadilishwi wao kaz yao kulinda bank tu
You are speaking from experience ama..
GD au FFU huwa wanalinda kwa rotation na kuna siku wanakua na offdays na pia kuna majukumu mengine ya kiofisi..how comes mtu alinde siku 30 zote za mwezi?
 
Wengine wanalinda Mwez mzima bank so anakunja kam lak 3 hiv na wapo ambao hawabadilishwi wao kaz yao kulinda bank tu
Pia sio kila bank au taasisi ukilinda wanapewa 10k..inategemeana boss
Pia kuna lindo zingine ni kwa mkuu wa mkoa au RPC
 
You are speaking from experience ama..
GD au FFU huwa wanalinda kwa rotation na kuna siku wanakua na offdays na pia kuna majukumu mengine ya kiofisi..how comes mtu alinde siku 30 zote za mwezi?
Cyo experience mkuu mbon wapo but analinda kwa for 2 weeks kila bank tena ktk hao ambao wameajiriwa juz tu yaan yy analinda Bank only Cjawah kumskia yupo sehem nyingine tangia aajiriwe mfan wik 2 yupo crdb but wik moj asubh wik inayofuata ni usku huyo ni GD
 
You are speaking from experience ama..
GD au FFU huwa wanalinda kwa rotation na kuna siku wanakua na offdays na pia kuna majukumu mengine ya kiofisi..how comes mtu alinde siku 30 zote za
Tena huyo kila cku yupo job either anaingia asubuh au lindo la usiku
 
Huwezi ingia guard kila siku chief
Chief mbon yy yupo ivo na hadanganyi na yupo mbagala ndo kituo chke cha kaz mm namfaham yupo bank kila cku na yy anasem bora apangiwe lindo apate pesa nje ya salary ipo ivo chief but unaweza kunielewesha
 
Maisha hayako uniform so anything is possible.
Chief mbon yy yupo ivo na hadanganyi na yupo mbagala ndo kituo chke cha kaz mm namfaham yupo bank kila cku na yy anasem bora apangiwe lindo apate pesa nje ya salary ipo ivo chief but unaweza kunielewesha
Ila Kwa sasa akili zetu zinawaza pdf Kwanzaa.
 
Kunguru wa manzese ndio umerudi [emoji23][emoji23]
Au umechukua picha ya jamaa kunguru wa manzese anayotumia
 
Kunguru wa manzese ndio umerudi [emoji23][emoji23]
Au umechukua picha ya jamaa kunguru wa manzese anayotumia
Mi Mkongwe sana kwenye Game Mdogo wetu...
Tunachange I'ds na Avatar kulingana na Game..
Nimekuepo hata kitambo sana na akina
Alvin01 , Tang'ana , Allern Snr , Makanya Jr. Nanga wa kwata n.k kwenye 2015 -16 kitambo kidogo...
Leo Niko huku mitaani .
 
Mi Mkongwe sana kwenye Game Mdogo wetu...
Tunachange I'ds na Avatar kulingana na Game..
Nimekuepo hata kitambo sana na akina
Alvin01 , Tang'ana , Allern Snr , Makanya Jr. Nanga wa kwata n.k kwenye 2015 -16 kitambo kidogo...
Leo Niko huku mitaani .
Mrgeneous yukwapi aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…