Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

We jamaa ,vp mbanga wako wa Ikulu imekupa connection PT au JWTZ au umekuka za kichwa ?
Si ulikuwa unatumia una mbanga wa ikulu humu kila siku ?
 
Hahah! We acha tu, yani asubuhi mapema kabisa jamaa wakatoa tangazo kuwa kama wewe una cheti cha mujbu wa sheria huu usaili haukuhusu kwa hiyo toka nje
Nilipoenda kwenye usahili wao,nimegundua magereza Wana jiamulia tu wanavyotaka,kabla ya kuanza usahili wanakaa na kujadili wakitoka hapo ni tamko tu,Sasa kwanin hawakuchambua mapema na kuwatoa wasiowataka? Nikagundua hawapo static
 
Nilipoenda kwenye usahili wao,nimegundua magereza Wana jiamulia tu wanavyotaka,kabla ya kuanza usahili wanakaa na kujadili wakitoka hapo ni tamko tu,Sasa kwanin hawakuchambua mapema na kuwatoa wasiowataka? Nikagundua hawapo static
Mwanangu Investo me nilivoona vile pia nkawa mwanzo nilivpingia nkatoka safari home hakuna haki maamuzi ya mtu mmoja serikali iliangalie hili najua mpo humu
 
Hahah! We acha tu, yani asubuhi mapema kabisa jamaa wakatoa tangazo kuwa kama wewe una cheti cha mujbu wa sheria huu usaili haukuhusu kwa hiyo toka nje!
Wapi hiyo kaka?

Alafu watu hawajui mujibu na Kujitolea ni cheti kimoja sema maonezi mujibu miezi 3 ila unajitolea kusoma kwaajili ya nchi yako labda mwalimu au Dactari kuhudumia jamii lakini Kujitolea miezi 4 alafu unajenga taifa kwa kulima ujenzi nk lakini sidhan kama inamanufaa kwa taufa kama kutumikia uma.

Pia mujibu wa sheria sio wote walioitwa huenda ni baadhi wenye moyo. Hili swala liangaliwe kama hawataki watu wapande chei ukiingia na form four ukazie usiende kozi hata miaka 10 Wayne kama watu wataacha kuomba ama la watu hawataki cheo ila ajira
 
PT kesho wanatoa pdf (Confirmed).
PT kama ulikuwa unaomba tu pekee baada ya kufanya Usaili utakuwa unajiumiza kusubiria PDF, Lakini walioomba kusali huku wakipambana Kwa njia nyingine ya ziada wataweza kutoboa PDF.

Tanzania ni nchi kubwa sana, kozi uliyosoma wewe Kuna wengine wengi wamesoma tena wana-Connection kubwa na watu wakubwa zaidi yako.

Next time tukitaka hizi nafasi tujiongeze tuwe na PLAN B sio kukaa tu Home/ Kitaa kusubiria hizi Post, haijalishi KOZI gani ulisoma chuo.
 
PT kama ulikuwa unaomba tu pekee baada ya kufanya Usaili utakuwa unajiumiza kusubiria PDF, Lakini walioomba kusali huku wakipambana Kwa njia nyingine ya ziada wataweza kutoboa PDF.

Tanzania ni nchi kubwa sana, kozi uliyosoma wewe Kuna wengine wengi wamesoma tena wana-Connection kubwa na watu wakubwa zaidi yako.

Next time tukitaka hizi nafasi tujiongeze tuwe na PLAN B sio kukaa tu Home/ Kitaa kusubiria hizi Post, haijalishi KOZI gani ulisoma chuo.
Ameen! Tutakuwepo ! Yupo Mungu tunae muamini
 
PT kama ulikuwa unaomba tu pekee baada ya kufanya Usaili utakuwa unajiumiza kusubiria PDF, Lakini walioomba kusali huku wakipambana Kwa njia nyingine ya ziada wataweza kutoboa PDF.

Tanzania ni nchi kubwa sana, kozi uliyosoma wewe Kuna wengine wengi wamesoma tena wana-Connection kubwa na watu wakubwa zaidi yako.

Next time tukitaka hizi nafasi tujiongeze tuwe na PLAN B sio kukaa tu Home/ Kitaa kusubiria hizi Post, haijalishi KOZI gani ulisoma chuo.
Unahimiza vijana wapite kwa ubadhirifu?

Tutakuwa na jeshi la polisi la hovyo lisilo na weledi endapo yatafanyika hayo. Wenye vigezo watachukuliwa mwaka huu PT, analysis haifanywi na mtu mmoja na kama kijana ulifanya vizuri written na oral interview, height ipo kuanzia 5"7 huna tatizo lolote kiafya & physical appearance yako iwe clear yaan huna tattoo wala makovu trust in God utapita mchana kweupe.

Achaneni na upotoshaji.

Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom