SioNakazia hapa umenena vyema, kama huna Connection na ukitegemea Makubwa utajiumiza sana after PDF.
Wenye Connection wenyewe hawana uhakika kama watapata halafu Kuna aliyekaa tu anasubiria Neema baada ya kufanya Usaili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SioNakazia hapa umenena vyema, kama huna Connection na ukitegemea Makubwa utajiumiza sana after PDF.
Wenye Connection wenyewe hawana uhakika kama watapata halafu Kuna aliyekaa tu anasubiria Neema baada ya kufanya Usaili.
Noted, Thanks Kwa ushauri [emoji120]Unahimiza vijana wapite kwa ubadhirifu?..
Tutakuwa na jeshi la polisi hovyo lisilo na weledi endapo yatafanyika hayo. Wenye vigezo watachukuliwa mwaka huu PT, analysis haifanywi na mtu mmoja na kama kijana ulifanya vizuri written na oral interview, height ipo kuanzia 5"7 huna tatizo lolote kiafya & physical appearance yako iwe clear yaan huna tattoo wala makovu trust in God utapita mchana kweupe. Achaneni na upotoshaji.
Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
Kaka watu kibao wanaomba na wanatumia connection na bado wanakosa. Sasa niambia competition ya connection ilivo alaf ww unapply na kukaa tu.Unahimiza vijana wapite kwa ubadhirifu?..
Tutakuwa na jeshi la polisi hovyo lisilo na weledi endapo yatafanyika hayo. Wenye vigezo watachukuliwa mwaka huu PT, analysis haifanywi na mtu mmoja na kama kijana ulifanya vizuri written na oral interview, height ipo kuanzia 5"7 huna tatizo lolote kiafya & physical appearance yako iwe clear yaan huna tattoo wala makovu trust in God utapita mchana kweupe. Achaneni na upotoshaji.
Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
Hatuhimizi ubadhirifu lakini ndio njia inayotumika na unaotuona tunapiga kelele humu asilimia kubwa ni watoto wa wwakulima ambao hatuna hizo connection.Unahimiza vijana wapite kwa ubadhirifu?..
Tutakuwa na jeshi la polisi hovyo lisilo na weledi endapo yatafanyika hayo. Wenye vigezo watachukuliwa mwaka huu PT, analysis haifanywi na mtu mmoja na kama kijana ulifanya vizuri written na oral interview, height ipo kuanzia 5"7 huna tatizo lolote kiafya & physical appearance yako iwe clear yaan huna tattoo wala makovu trust in God utapita mchana kweupe. Achaneni na upotoshaji.
Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
Nakuwelewa Afande but Sometimes Mungu anafanya in Unexpected ways! Pia sio lazima uwe na Connection! Ila ukiwa nayo ni vizuriHata Alie na connection anamtegemea mungu na anasababu ya ziada, maisha ya Dunia Mungu ameyatengenezea kanuni maalumu ukifuata utafanikiwa usipofuata utafeli, no matter what.
Naungana na ww chief ..mafanikio huja kwa juhudi na kusali sanaHatuhimizi ubadhirifu lakini ndio njia inayotumika na unaotuona tunapiga kelele humu asilimia kubwa ni watoto wa wwakulima ambao hatuna hizo connection.
Kamwe huwezi kumkuta mwenye Mbanga akiongelea suala hilo.
Mtuambie Hawa watu wa kupata plan B kutoka kwao tunawapatia genge lipi...Kaka watu kibao wanaomba na wanatumia connection na bado wanakosa...
Sasa niambia competition ya connection ilivo alaf ww unapply na kukaa tu..
Vyuo vinatoa graduates kibao na sio kwamba kozi umesoma peke yako...
Labda Kama kozi hio huko peke yako ndo uapply na kukaa tu...
Uliza mambo ya Takukuru yaliendaje mwaka Jana...
Tafuta na plan B.
Usiapply na kukaa tu.
Competition n kubwa na Tena kubwa sana
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
hahaaa mkuuAsilimia 90 ya ajira kwa karne hii ni CONNECTION.......kataa ukubali
Kama huna ni kupapaswa tuAsilimia 90 ya ajira kwa karne hii ni CONNECTION.......kataa ukubali
Huo ndio ukweli...na amabao wapo kwenye mifumo watakubaluana na mimihahaaa mkuu
Kwaiyo mkuu ukiwa na 5.4 au 5.5 height unaliwa kichwa maana kuna jamaa angu kapiga usaili alinambia walikua wanauliza mpaka GPA umepata ya ngapi nikasema duuu mpaka GPA tena yanini sasa na kama wakichukua watachukua kwenye GPA kubwa au ndogoUnahimiza vijana wapite kwa ubadhirifu?..
Tutakuwa na jeshi la polisi hovyo lisilo na weledi endapo yatafanyika hayo. Wenye vigezo watachukuliwa mwaka huu PT, analysis haifanywi na mtu mmoja na kama kijana ulifanya vizuri written na oral interview, height ipo kuanzia 5"7 huna tatizo lolote kiafya & physical appearance yako iwe clear yaan huna tattoo wala makovu trust in God utapita mchana kweupe. Achaneni na upotoshaji.
Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
Kuhusu hight haina shida wala usiwaze...Kwaiyo mkuu ukiwa na 5.4 au 5.5 height unaliwa kichwa maana kuna jamaa angu kapiga usaili alinambia walikua wanauliza mpaka GPA umepata ya ngapi nikasema duuu mpaka GPA tena yanini sasa na kama wakichukua watachukua kwenye GPA kubwa au ndogo
Nakumbuka kwenye ukaguzi Wa Vyeti Kuna Afande aliangalia GPA akaniambia sio haba, kwenye panel zao wanaangalia everything mpaka na performance yako yaani GPA kwenye Transcript yako pia.Kwaiyo mkuu ukiwa na 5.4 au 5.5 height unaliwa kichwa maana kuna jamaa angu kapiga usaili alinambia walikua wanauliza mpaka GPA umepata ya ngapi nikasema duuu mpaka GPA tena yanini sasa na kama wakichukua watachukua kwenye GPA kubwa au ndogo
Pamoja constableKuhusu hight haina shida wala usiwaze...
Maana Kuna maafande tunawaona Wana adi 5.2
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sio haba kwamba una kubwa au normal tu tiririka superintendentNakumbuka kwenye ukaguzi Wa Vyeti Kuna Afande aliangalia GPA akaniambia sio haba, kwenye panel zao wanaangalia everything mpaka na performance yako yaani GPA kwenye Transcript yako pia.
Yaani ni kwmba ukimaliza usaili Kuna nahisi Huwa Kuna michakato wanafanya kwenye Vikosi/Panel zao so wanaangalia vitu vingi. Lazma waangalie GPA uliyopata chuo sasa mwenzio ana 4.1 wewe una 3.2 unafikiria hapo inakuwajeSio haba kwamba una kubwa au normal tu tiririka superintendent
Kaka me sijapiga mujibu nimepiga kujitolea aseee....labda kwenye umri kidogo mimesogea....ila ndo wamenipiga ndoige, vp na ww wamezingua maana si ulienda mpk usaili kakaKaka methodinho MT naona hawataki mujibu unless uwe na maelekezo
Sasa nasubiri ajiza zitakazokuja hizi nishapapaswa zote
First class parefu mkuu sema inategemea na course mtu aliyosomaYaani ni kwmba ukimaliza usaili Kuna nahisi Huwa Kuna michakato wanafanya kwenye Vikosi/Panel zao so wanaangalia vitu vingi. Lazma waangalie GPA uliyopata chuo sasa mwenzio ana 4.1 wewe una 3.2 unafikiria hapo inakuwaje
GPA yangu ya kawaida sana sina First Class kama wengine.