Mp Kalinga
Member
- Dec 29, 2022
- 38
- 45
GPA inategemea na chuo ulichosoma mfano SUA, UDOM, UDSM, MUHAS, NA VINGINE VYA SERIKALI ASILIMIA KUBWA SECOND CLASS WANAPATA LAKINI PRIVATE KAMA SAUTI UNAKUTA FIRST CLASS LAKINI HAIPO MAKINI SANAYaani ni kwmba ukimaliza usaili Kuna nahisi Huwa Kuna michakato wanafanya kwenye Vikosi/Panel zao so wanaangalia vitu vingi. Lazma waangalie GPA uliyopata chuo sasa mwenzio ana 4.1 wewe una 3.2 unafikiria hapo inakuwaje
GPA yangu ya kawaida sana sina First Class kama wengine.
Kaka me sijapiga mujibu nimepiga kujitolea aseee....labda kwenye umri kidogo mimesogea....ila ndo wamenipiga ndoige, vp na ww wamezingua maana si ulienda mpk usaili kaka
Wanachanganya hawa,maana ule usahili walikuwa wanakomaa wanataka transcript,kwa wale ambao hawakuwa nazo waliambiwa kesho yake waleteSidhn kama PT wanaweza penda GPA Kubwa ...ikiwa wanapenda GPA kubwa bas Hata form four wangekuwa wanachukua wenye div 1
Wengne walikua wanaambiwa wataje gpa zao Kama transcript hawana....na wafanye mchakato wazitafuteWanachanganya hawa,maana ule usahili walikuwa wanakomaa wanataka transcript,kwa wale ambao hawakuwa nazo waliambiwa kesho yake walete
Hii issue ya GPA nahisi wana consider sana hususani faniWengne walikua wanaambiwa wataje gpa zao Kama transcript hawana....na wafanye mchakato wazitafute
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
ivi GPA kubwa ni kuanzia ngapi constableSidhn kama PT wanaweza penda GPA Kubwa ...ikiwa wanapenda GPA kubwa bas Hata form four wangekuwa wanachukua wenye div 1
Issue ya GPA ni kujidanganya tu kwa PT...katika sehem huwa hawaangaliii GPa ni kweny majeshi. Cha muhim cheti/transcript ipo na connection unayo bas.ivi GPA kubwa ni kuanzia ngapi constable
Kuanzia tatuivi GPA kubwa ni kuanzia ngapi constable
Duh Kumaintain kivipi tena hapo embu paelezee vzuri manHuo ndio ukweli...na amabao wapo kwenye mifumo watakubaluana na mimi
Hizo asilimia 10 zilizobaki ndio wanapata kazi bila connection .
Na hata hizo kazi mkishazipata bado kumaintain inahitaji connection hahahaha
Hii ndio nchi yetu
Duuu chini ya tatu ndoige mkuuKuanzia tatu
Wanaangalia mkuu maana kule unaenda tumia fani yako so lazima waangalie mtu smart kidogo japo unaweza kuwa na GPA kubwa na isikusaidie lolote kama huna connection japo kutoboa inawezekanaSidhn kama PT wanaweza penda GPA Kubwa ...ikiwa wanapenda GPA kubwa bas Hata form four wangekuwa wanachukua wenye div 1
Ukisoma PGO hamna admission ya recruitment mwenye degree, wameongeza tu kwasbb ya huduma za jamii ...kwenye PGO kuna admission Ya Form 4. Na awe na dv 3 kurud nyuma... sasa how come PT watake GPA kubwa...hilo halipo braza. Cha muhim cheti/transcript na connection.Wanaangalia mkuu maana kule unaenda tumia fani yako so lazima waangalie mtu smart kidogo japo unaweza kuwa na GPA kubwa na isikusaidie lolote kama huna connection japo kutoboa inawezekana
Ukisoma PGO hamna admission ya recruitment mwenye degree, wameongeza tu kwasbb ya huduma za jamii ...kwenye PGO kuna admission Ya Form 4. Na awe na dv 3 kurud nyuma... sasa how come PT watake GPA kubwa...hilo halipo braza. Cha muhim cheti/transcript na connection.
Nakubali mkuuUkisoma PGO hamna admission ya recruitment mwenye degree, wameongeza tu kwasbb ya huduma za jamii ...kwenye PGO kuna admission Ya Form 4. Na awe na dv 3 kurud nyuma... sasa how come PT watake GPA kubwa...hilo halipo braza. Cha muhim cheti/transcript na connection.
Aaah sasa waliwaitia nn kama haukuwa usaili, au walikuwa na mqana ganUle haukua usaili kaka..ni vipimo tu vya urefu na ukaguzi wa vyeti
Ukiingia huko ishi na watu vizur mzee usije ukajikuta unakaa hata miaka 10 hujapelekwa hata course ya ukoploDuh Kumaintain kivipi tena hapo embu paelezee vzuri man