Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Kuna ambao wanakuwa informed kama Kuna vitu vyao havijakaa sawa wakamilishe...
Kikubwa ishu ambayo madogo walikuwa wanakuwa informed kwa kupigiwa simu ni ishu ya majina kutofauti katika baadhi ya vyeti,mfano unakuta majina ya cheti Cha kuzaliwa na form four hayafanani na kwenye nida,kwa hiyo wiki waliripoti kwenye vikosi vyao husika na kupewa utaratibu wa namna ya kufanya

Kuna ambao waliambiwa wafatilie deedpoll na Kuna wengine waliambiwa waende kabisa Rita na Nida kwa ajili ya kufanya marekebisho ya taarifa za majina

Na waliambiwa wakamilishe hili zoezi kabla ya tarehe 10 mwezi wa tatu
 
Kwa mantiki hiyo basi, hao tayari wana nafasi kubwa ya kuwemo kwenye PDF.
 
Maanake hao ni uhakika... mtu majina yametofautiana lkn anatafutwa wakat kuna watu wajina yako vzr na hawajatafutwa[emoji23]
 
Watu na Mibuyu yao bhn. Tutafanyaje sasa

Sent from my STK-L21 using JamiiForums mobile app
 
Maanake hao ni uhakika... mtu majina yametofautiana lkn anatafutwa wakat kuna watu wajina yako vzr na hawajatafutwa[emoji23]
Kutotafutwa sio maana wamekosa...
Pia kumbuka kulikuwa na interview mbalimbali written na oral uenda mwenye shida ya hayo majina kafanya vizuri kuliko wengine na ndo sababu akatafutwa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kutotafutwa sio maana wamekosa...
Pia kumbuka kulikuwa na interview mbalimbali written na oral uenda mwenye shida ya hayo majina kafanya vizuri kuliko wengine na ndo sababu akatafutwa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sure.Naamanisha kama mtu katafutwa na kuna sehm anattzo kwenye jina lake...maanake ni uhakika...yaan kwa maana nyingine walikuwa wana uwezo wa kureplace hiyo nafasi kwa mtu ambae majina yake yako fresh .
 
Tuishi vizuri na huyu mtu...
Aise tusaidie vijana wako mtaani tunapambana lakini Bado ngoma ngumu sana... Mm nikiwa mmoja wao naomba msaada huo niingie chomboni
 
Sure.Naamanisha kama mtu katafutwa na kuna sehm anattzo kwenye jina lake...maanake ni uhakika...yaan kwa maana nyingine walikuwa wana uwezo wa kureplace hiyo nafasi kwa mtu ambae majina yake yako fresh .
Fact Niya bubex_jr hawezi pewa nafasi mwengine wakati ww alimpita Kwa written na coral na unakitu unaweza ukafanya Ili nafasi hiyo uipate na maamlaka pia inaruhusu ww kufanya ivyo Ili update nafasi hiyo...
 
Alivyo sema Borosilicate ni hivyo hivyo Kuna mwana alichekiwa Kwa izo issue ndo mana nasema tuishi vizuri na mkuu uyo
 
Mara hii nahis hakuna pdf zenji waliopata wameshajijua watu wanasubir kuondok tu kwa sabab wameshapigiwa cm
 
Mara hii nahis hakuna pdf zenji waliopata wameshajijua watu wanasubir kuondok tu kwa sabab wameshapigiwa cm
Hili nilishawahi kusema hapa kuna jamaa mwaka Jana alisema wao walipigiwa simu wakapewa utaratibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…